Mwanaume anaejiona mzuri,anaetoa nafasi ya kusikiliza maneno ya mtu yawe kweli au si kweli,ni HATARI,inaonyesha bado anautoto mwingi,tuliza akili dada jaribu kuongea nae kwa UTARATIBU,ujue msimamo wake juu yako,JIAMINI maisha ndo hayahaya kwa nini uteseke.
Si kwa wote,mama mkwe wangu alikua na upendo nami nilimpenda sana,bahati mbaya mama yangu mzazi alitangulia mbele za haki alisimama nami tangu anaumwa mpaka mwisho wa kumuhifazi,alinifariji na kuniongoza sana,Bahati mbaya nae amefariki mwaka jana,Nazani inategemea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.