Recent content by ichiiza

  1. I

    Siku nilipoopoa Jike-dume

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  2. I

    Nina mashaka na huyu mwanamke

    Nimewaza hili nami,kazi na sala mchanganyo
  3. I

    Kuanzia leo mimi sio muumini tena wa Kanisa Katoliki

    Jiunge na jumuiya kwanza uwe mshiriki mzurii utoe zaka fungu la10 ufate taratibu zilizopo huzuria misa jipe muda kidogo,unapokelewa vizuri na ndoa utafunga usiogope
  4. I

    Msaada wa mbinu za kuachana na mpenzi wako mnayefanya kazi pamoja

    Mwanaume anaejiona mzuri,anaetoa nafasi ya kusikiliza maneno ya mtu yawe kweli au si kweli,ni HATARI,inaonyesha bado anautoto mwingi,tuliza akili dada jaribu kuongea nae kwa UTARATIBU,ujue msimamo wake juu yako,JIAMINI maisha ndo hayahaya kwa nini uteseke.
  5. I

    Mwanamke huna mvuto, maringo ya nini ukitongozwa?

    Nikupe siri sasa hao unaowaita wabaya mara njingi hupata wanaume wenye mvuto,jitasmin kwanza,usikute ye mwenyew anakuona mbaya pia
  6. I

    "Usitegemee Mama mzazi kumpenda mkeo, au mkeo kumpenda mama mzazi"

    Si kwa wote,mama mkwe wangu alikua na upendo nami nilimpenda sana,bahati mbaya mama yangu mzazi alitangulia mbele za haki alisimama nami tangu anaumwa mpaka mwisho wa kumuhifazi,alinifariji na kuniongoza sana,Bahati mbaya nae amefariki mwaka jana,Nazani inategemea.
  7. I

    Mwanamke hata umfanyie Haya yote, Ila Tambua...

    Kwa kweli,hamnaga mkamilifu duniani,na hatufanani
  8. I

    Wanaume wa JF mna shida gani?

    Kama nimekuelewa hivi
  9. I

    Jumapili yangu.... Kisela zaidi

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom