Tanzania hakuna mpinzani wa kweli, yanayoendelea serikali na upinzan wanakkaaa na kukubalia, mm nilishuhudia arush mnaandaman yakuja magar ya polis yanawatoaa viongoz wa chadema afu ss wananchi tunapigwa na polis, bado sanaaa.
CCM mbele kwa mbele, hakyamung, naon kwel mtu alitaka kukimbia tena kweny mteremko wakati hana brake na mbele kuna kona kaliiiiii.......
Tumeisoma namba na wakati huu tunazisoma alphabeti #UhuruWaKujieleza
Ila kweli mfanyakaz wako anapotea unakaa kimy? Hata km ulikua nje ya nchi wapo watu ungweza kuwatuma wakakutolee taarifa kw wana ndugu. Sio poa Mbowe omba samahan kwa hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.