kazikwanza1981
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,577
- 728
Waaaasaaafiìia! Huwa napenda Hii!
Kwa taarifa, yako tiketi zimekwisha zote za elfu 30 zimebaki za laki si pesa na ma bosa, wanategemea hadi saa 12 jioni zitakua zimekwishaNdugu Yangu Mimi Ni Fan Wa Kingkiba Na Ndio Maana Nimetoa Ushauri Wa Kujenga.Sasa Kuhusu Masuala Ya Ticket Yanaingiaje Hapa
Ni Kweli Bila Kusikia Yooo Huwezi Kujua Kama Ni Kiba Kwasababu Ndio Alioutengeneza Tena Usio Na Faida YoyoteMkuu kama hiyo yoooh inakukera weka ya kwako,mi bila kusikia hiyo yoooh bado huwa siamini kama ni king kiba..usiforce tufanane kila mtu ana ubunifu wake
Wacha unafki you are not a fan of Ali kibaNdugu Yangu Mimi Ni Fan Wa Kingkiba Na Ndio Maana Nimetoa Ushauri Wa Kujenga.Sasa Kuhusu Masuala Ya Ticket Yanaingiaje Hapa
Leo Alikiba Anauza Kofia Zinaitwa KingKibaAliyeleta hii dhana Ya mziki ni pesa tu watu mnataka mpk identity Ya mtu iwe pesa ni kweli ila wat for ?
shida ni nini katika yale maneno?Jamaa Haeleweki Kabisa Mkuu.