Habari wanajukwaa. Nimepangiwa CBG Dodoma secondary. Nilikuwa naomba ushauri kwa Mambo mwili.
Mosi. Je nikisoma CBG uwanja wake ukoje katika kusomea professional?
Pili. Je naruhusiwa kubadilisha ili nisome PCB?
Malengo yangu ni kuwa katika idara ya afya (Medical officer,Nursing, pharmacy, Lab...
Nimenunua laptop aina ya LENOVO B50-30. Window 7 bit 32.Lakini kinachonishangaza ni kwamba hawezi kucharge phones wala kusoma usb ya phone. Tatizo litakuwa nin maana nimejaribu kudownload na kuinstall free usb drivers lakini bado haisomi, zingine zinakataa kabisa.
Kosa kubwa lililofanyika ni kubadili kanuni, badala ya kupigia ibara mnapigia sura. Na hii ndo matatizo yake mtu anaona haina umuhimu kwa vile akikataa baadhi ya sura na baadhi ya ibara zingine azikubali tayar kura imeharibika so its better to say Yes or No. Hata sioni mwenye unafuu hata mmoja...
Hapo kinachoonekana ni kuzidiana mbinu za kisiasa na uelewa kati ya TCD na upande wa JK, ukisoma vizur maelezo ya cheyo amejaribu kuzungumzia swala kwenye hatua ya mwisho ambayo ni kupiga kura tena kama itarudiwa, kama maana hiyo upande wa pili JK wamejiridhisha kwamba. wamalize hii hatua ya...
Hapa Tz ni unafiki mwingi hakuna la maana! Najiuliza ni possible kubadili red kuwa njano nikimaanisha kwamba ni yuleyule m/kiti aliyesimama na mwenye kubeba ujumbe wa chama chake kwenye ufunguzi wa BMK na ndo chanzo wa maswala yote haya, hv leo hii syo m/kiti tena? Halafu hawa wahadhiri wa vyuo...
Mkuu inawezekanaje kwa muundo wa serikali 2 na ule wa serikal 3 kuwa na the same contents hivyo ni vitu viwili ambavyo hafipikiki chungu kimoja. Cha msingi ni kuweka katiba ya ambayo ni rasimu ya II na hii iliyopo sasa ya 1977 lakin ifanyiwe marekebisho kuhusu tume ya uchaguzi kuwa huru na swala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.