Uwanja Wa CBG kwa ngazi ya professional

Uwanja Wa CBG kwa ngazi ya professional

Ibusai

Member
Joined
Apr 25, 2014
Posts
40
Reaction score
4
Habari wanajukwaa. Nimepangiwa CBG Dodoma secondary. Nilikuwa naomba ushauri kwa Mambo mwili.
Mosi. Je nikisoma CBG uwanja wake ukoje katika kusomea professional?
Pili. Je naruhusiwa kubadilisha ili nisome PCB?
Malengo yangu ni kuwa katika idara ya afya (Medical officer,Nursing, pharmacy, Lab Officer and MD).
Nategemea mwongozo wenu wanajukwaa.
 
Habari wanajukwaa. Nimepangiwa CBG Dodoma secondary. Nilikuwa naomba ushauri kwa Mambo mwili.
Mosi. Je nikisoma CBG uwanja wake ukoje katika kusomea professional?
Pili. Je naruhusiwa kubadilisha ili nisome PCB?
Malengo yangu ni kuwa katika idara ya afya (Medical officer,Nursing, pharmacy, Lab Officer and MD).
Nategemea mwongozo wenu wanajukwaa.

Kuna vyuo vichache unaweza soma MD bila Physics ila sijui kama itaendelea kuwa hivi

Nursing,yes vyuo vingi sana

So kwa kozi za afya,kuna limitation ya kutosha tu
 
nenda kabadili hapo unakubaliwa PCB ila jiandae vizuri phyz ni ugonjwa wa wengi advance maana na math uwe vzuri kchwani
 
Physics C and Maths D
Ukute ni wanaume alafu unajiita nesi duuuh!! Si mbaya lakin kwa jamii yetu watakushangaa kidogo!!

CBG unaweza soma kozi za kilimo...ila md na phamacy hasa ya muhimbili sahau!

Kama ukitoka na one au two nenda sua kasome veterinary medicine hutojutia!
 
daaa dom sec kitamboo,nendaaa kakimbizanee naa masala headmaster msalimiee baringe
 
Kuna vyuo vichache unaweza soma MD bila Physics ila sijui kama itaendelea kuwa hivi

Nursing,yes vyuo vingi sana

So kwa kozi za afya,kuna limitation ya kutosha tu
Naomba kujua hivyo vyuo vya nursing nami ninufaike mkuu
 
Kuna vyuo vichache unaweza soma MD bila Physics ila sijui kama itaendelea kuwa hivi

Nursing,yes vyuo vingi sana

So kwa kozi za afya,kuna limitation ya kutosha tu


Mkuu, nisaidie aiseee hata kwa PM majina ya vyuo ambavyo CBG anaweza Soma MD.

Maana , vijana wengi wanapenda wasome MD ila sasa matokeo yake wamepangiwa hapo bongo kusoma CBG japo "O' level wamepata Physics C na Bam C. Ila wamepangiwa CBG japo Chemistry A Biology B. Geography A.

Sasa hao vijana wamepangiwa combination za CBG kwenda ' A" level badala ya combination ya PCB.

Nategemea kusikia kutoka kwako mkuu.

Asante sana kwa majibu
 
Mkuu, nisaidie aiseee hata kwa PM majina ya vyuo ambavyo CBG anaweza Soma MD.

Maana , vijana wengi wanapenda wasome MD ila sasa matokeo yake wamepangiwa hapo bongo kusoma CBG japo "O' level wamepata Physics C na Bam C. Ila wamepangiwa CBG japo Chemistry A Biology B. Geography A.

Sasa hao vijana wamepangiwa combination za CBG kwenda ' A" level badala ya combination ya PCB.

Nategemea kusikia kutoka kwako mkuu.

Asante sana kwa majibu
Tafuta Guide book ya TCU ina kila info

Kwa ufupi AJUCO wanasoma wanafunzi waliotoka CBG

Vingine chukua guide book utapata kwa upana zaidi
Naomba kujua hivyo vyuo vya nursing nami ninufaike mkuu
 
Nashauri Usome PCB, Kozi Zote Za Afya Utaweza Kusoma, Na Koz Nyingine Nyingi Hata Ukitaka Kusoma Za Business Au Arts, Kasoro Kozi Znazohtaj Pure Mathematics Mf. Eng, Programing, Uchumi Nk.
 
Mkuu,
Asante sana.
Pokea like.

Mkuu, nisaidie aiseee hata kwa PM majina ya vyuo ambavyo CBG anaweza Soma MD.

Maana , vijana wengi wanapenda wasome MD ila sasa matokeo yake wamepangiwa hapo bongo kusoma CBG japo "O' level wamepata Physics C na Bam C. Ila wamepangiwa CBG japo Chemistry A Biology B. Geography A.

Sasa hao vijana wamepangiwa combination za CBG kwenda ' A" level badala ya combination ya PCB.

Nategemea kusikia kutoka kwako mkuu.

Asante sana kwa majibu
Acha kujidanganya mkuu!! Hamna shortcut hapo!

MD lazima uwe na PCB!! sasa kama umekimbia physics tu...utaweza kumshika maiti kweli??

Alafu hivyo vyuo vya chini ya mti ndo vile unasoma ukifika mwaka wa tatu unaskia ndalichako kakifunga...hapo muhimbili wala kcmc hupokelewi maana huna pcb!!

Usipende shortcut!!
 
Acha kujidanganya mkuu!! Hamna shortcut hapo!

MD lazima uwe na PCB!! sasa kama umekimbia physics tu...utaweza kumshika maiti kweli??

Alafu hivyo vyuo vya chini ya mti ndo vile unasoma ukifika mwaka wa tatu unaskia ndalichako kakifunga...hapo muhimbili wala kcmc hupokelewi maana huna pcb!!

Usipende shortcut!!

Aiseeeh.
haya hakuna namna
 
Habari wanajukwaa. Nimepangiwa CBG Dodoma secondary. Nilikuwa naomba ushauri kwa Mambo mwili.
Mosi. Je nikisoma CBG uwanja wake ukoje katika kusomea professional?
Pili. Je naruhusiwa kubadilisha ili nisome PCB?
Malengo yangu ni kuwa katika idara ya afya (Medical officer,Nursing, pharmacy, Lab Officer and MD).
Nategemea mwongozo wenu wanajukwaa.
Gonga CBG mwanangu uje uwe mchenjua makenikia!

Ila kama ukiwa interested na BVM komaa na CBG mkuu iko vzuri BVM kwenye ajira na kujiajiri pia.
 
Gonga CBG mwanangu uje uwe mchenjua makenikia!

Ila kama ukiwa interested na BVM komaa na CBG mkuu iko vzuri BVM kwenye ajira na kujiajiri pia.
Hapo kwenye bvm nakuunga mkono! Sasa ukute kijana ni shorobaro je ataweza kupiga mtama ng'ombe?
 
Back
Top Bottom