Uwanja Wa CBG kwa ngazi ya professional

Uwanja Wa CBG kwa ngazi ya professional

Hahahaha wewe jamaa daah.

Kwenye kutibu hazitumiki nguvu mkuu. Yeye kama dr. Atatafuta watu wamweke ng'ombe kwenye eneo maalumu na kutibu
Mkuu uko sahihi ila unaongelea akishakuwa dokta!!

Mimi nasemea akiwa mwanafunzi maana huwa wanapelekwa kule magadu kufanya prac....na huko lazima uvutane na ng'ombe mbuzi kondoo farasi punda bila kusahau ngamia!!

Sasa kwenye purukushani kama hizo lazima awapige mtama ng'ombe na ikiwezekana hata ngamia! Je akiwa sharo ataweza???
 
Mkuu uko sahihi ila unaongelea akishakuwa dokta!!

Mimi nasemea akiwa mwanafunzi maana huwa wanapelekwa kule magadu kufanya prac....na huko lazima uvutane na ng'ombe mbuzi kondoo farasi punda bila kusahau ngamia!!

Sasa kwenye purukushani kama hizo lazima awapige mtama ng'ombe na ikiwezekana hata ngamia! Je akiwa sharo ataweza???
Haha hapo kweli lazima apaone SUA pachungu.
 
Acha kujidanganya mkuu!! Hamna shortcut hapo!

MD lazima uwe na PCB!! sasa kama umekimbia physics tu...utaweza kumshika maiti kweli??

Alafu hivyo vyuo vya chini ya mti ndo vile unasoma ukifika mwaka wa tatu unaskia ndalichako kakifunga...hapo muhimbili wala kcmc hupokelewi maana huna pcb!!

Usipende shortcut!!

Sikuwahi kujua kama AJUCO ni chuo cha chini ya mti
 
Ahsanteni kwa mawazo yenu wandugu. Nimepata points za Msingi kabisaa
 
Habari wanajukwaa. Nimepangiwa CBG Dodoma secondary. Nilikuwa naomba ushauri kwa Mambo mwili.
Mosi. Je nikisoma CBG uwanja wake ukoje katika kusomea professional?
Pili. Je naruhusiwa kubadilisha ili nisome PCB?
Malengo yangu ni kuwa katika idara ya afya (Medical officer,Nursing, pharmacy, Lab Officer and MD).
Nategemea mwongozo wenu wanajukwaa.
Combination nzuri sana hiyo. Na kwa malengo uliyojiwekea uko kwenye mwelekeo sahihi. Angalizo moja tu. Hayo masomo syllabus zake ni very extensive kwa hiyo they demand 100% concentration. Kila la kheri na Mwenyezi Mungu awe nawe!
 
CBG kwa bugando kuanzia 2011 Md unasoma ila sijajua sasa,ila coz zingine kama health lab sceience,medical lab scientist,nursing unasoma tu
 
KAMA KICHWA CHAKO KINACHMKA VZR KABADILI USOME PCB ILA KWA HUO UFAULU WAKO WA PHY C MATH D JIPANGE SANA TENA SANA YAAN KAJIPANGE HASWA UKITAKA KUJUA PCB NI KITU GANI MUULIZE OLE SENDEKA
 
KAMA KICHWA CHAKO KINACHMKA VZR KABADILI USOME PCB ILA KWA HUO UFAULU WAKO WA PHY C MATH D JIPANGE SANA TENA SANA YAAN KAJIPANGE HASWA UKITAKA KUJUA PCB NI KITU GANI MUULIZE OLE SENDEKA
[Emoji23] [emoji23] [emoji23] ni kweli kama hesabu zile za olevel tu amepata D! Inabidi PCB akajipange sio kidogo
 
Habari wanajukwaa. Nimepangiwa CBG Dodoma secondary. Nilikuwa naomba ushauri kwa Mambo mwili.
Mosi. Je nikisoma CBG uwanja wake ukoje katika kusomea professional?
Pili. Je naruhusiwa kubadilisha ili nisome PCB?
Malengo yangu ni kuwa katika idara ya afya (Medical officer,Nursing, pharmacy, Lab Officer and MD).
Nategemea mwongozo wenu wanajukwaa.
Kama unataka MD kwa ufaulu huo kasome diploma in clinical medicine 3yr ukifaulu utaenda kupiga hiyo MD.
 
Ukute ni wanaume alafu unajiita nesi duuuh!! Si mbaya lakin kwa jamii yetu watakushangaa kidogo!!

CBG unaweza soma kozi za kilimo...ila md na phamacy hasa ya muhimbili sahau!

Kama ukitoka na one au two nenda sua kasome veterinary medicine hutojutia!
Miaka mingapi hiyo veterinary medicine?
 
Tafuta Guide book ya TCU ina kila info

Kwa ufupi AJUCO wanasoma wanafunzi waliotoka CBG

Vingine chukua guide book utapata kwa upana zaidi
Mkuu asante, hizo guide book za TCU sijaona kitu hiyo kwa direct entry, labda upitie diploma, ambayo hata guide book za NACTE physics ni Mandatory. Hiyo AJUCO sijui ni nini.
 
Mkuu asante, hizo guide book za TCU sijaona kitu hiyo kwa direct entry, labda upitie diploma, ambayo hata guide book za NACTE physics ni Mandatory. Hiyo AJUCO sijui ni nini.


Mkuu hizi ni requirements za Kampala Int'l University na Archbishop James University College(AJUCO)

Wanataka lazima ufaulu Chemistry na Biology na angalau subsidiary ya Physics AU Mathematics AU Geography
Screenshot_2017-06-26-10-40-56.png
Screenshot_2017-06-26-10-40-19.png
 
Back
Top Bottom