Mkoa wa Pwani ni shida sana aisee ktk mambo ya ulozi. Haya mambo kila sehem yapo ila Pwani shida ni kwamba wenyeji hawafanyi kazi ipasavyo ila mgeni ukitia nanga ili ufanye jambo wanaona wivu na kuanza kukuletea mambo ya gizani.
Kuna ardhi nzuri sana yenye rutuba isiyokua na muendelezo wa kilimo.
Sure,unapofeli ktk mambo yako utachekwa na kusemwa vibaya kinyama utadhani hata msaada walikupatia na kama walikupa msaada ukajisahau kuto fadhira basi utasimangwa mpaka ukajuta kwanini walikusaidia.
M
May be mpo wachache ndo maana mnathaminiana sana ktk nyakati hizi,kwangu mimi yote aliyoorodhesha mtoa mada yanaakisi maisha yangu na ndugu zangu.
Sikatai kwamba ktk kunikuza ndugu wamenisaidia ile uko home sembe inapikwa na unakaa chini unakipiga cha ugali ila baada tu ya umri fulan unachiwa...
Daaaah wazo zuri sana tena una uzoefu na hayo unayotarajia kuyafanya basi naamin mungu atakusaidia kwa yote sababu una nia na uthubutu.
Mungu akutangulie.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.