Hakuna kitu kama hicho, juzi tu huyu alikuwa katika mkutano WA kumpitisha mheshimiwa yani kwa wiki 3 tu apukutike hivi. Acheni kuunda mambo haiwezekani sio mmemphotoshop hata wewe tupia picha yako nikukondesheeeee
Sekta ya elimu ipo worldwide, haitakiwi kuichezea kama rede. Umefika wakati sasa WA kutengeneza sera thabiti ya elimu ambapo itumike kipindi vipindi vyote vya serikali..... Kiongozi aingie tu kusimamia sera si kuingiza matashi yake. VIONGOZI wetu MUACHE sifa.... Kama mmepanga kuwaadhibu walala...
Hatimae serikali yafikia kilele cha kuipandisha hadhi SAYANSI NA TEKNOLOJIA baada ya guided book kwa wanafunzi Waliomaliza NA kuhitaji kutumia matokeo ya kidato cha 6 kuingia shule kuonesha NON-PRIORITY kwa kozi zote tofauti NA kozi zinazohusu SAYANSI na TEKNOLOJIA.
Wote mmerogwa na aliyewaroga kafa, angekuwa hai angewaonea huruma...... Mnataka ushauri na wamama ushauri wote akili zero...... Mna IQ ndogo........ Acheni udini nq hiko chuo si cha kiislamu ni mchanganyiko na wanaosimamia ni watu kama nyie Wana madhaifu mengi kama yenu tena yao yaweza kuwa...
Mimi nipo Geita halmashauri ya Wilaya ya Geita.
Idara Msingi.
NJOO HALMASHAURI YA WILAYA YA GEITA_MKOA WA GEITA, mimi nije Daressalaam wilaya yoyote Ile au Pwani halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo au halmashauri ya Wilaya ya Kibaha au Chalinze.
Mawasiliano : 0656004147
Kuna jamaa yangu amemaliza diploma ya ualimu anataka kusoma degree sasa ameshafanya malipo nacte akiingia kwenye option ya kuchagua vyuo vipo vyuo vichache anavyotaka yeye havipo mfano DUCE, UDOM, UDSM NA MZUMBE. Tunaomba msaada WA ufafanuzi jinsi ya kuweka machafu ya vyuo hivyo. Ana ufaulu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.