al-bauly
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 343
- 108
Unawapigia asubuh na mapema, na jaribu namba zao nyengne.Kwa mwaka Jana ndivyo ilivyokuwa
Unawapigia asubuh na mapema, na jaribu namba zao nyengne.Kwa mwaka Jana ndivyo ilivyokuwa
Halafu sijaona application deadline kwenye guidebook sasa Sijui hili limekaaje?
Mungu wangu! naona Ndalichako kaamua, itakuwa wameamua kuzipandisha kwa level ya 2014 kurudi nyuma maana nyie mlishushiwa, hapo huna ujanja apply diploma tu...issue sio tu kwamba B iwe sawa na C bali hiyo C yenyewe iwe na marks za C ya 2014 kurudi nyuma...heheheWamenibadilishia kutoka matokeo halisi ya mwaka Jana yani
PHY D CHEM B BIOS B+ Kwenda PHY F CHEM D BIOS C
Hiyo d na c ni point ngapi?Mungu wangu! naona Ndalichako kaamua, itakuwa wameamua kuzipandisha kwa level ya 2014 kurudi nyuma maana nyie mlishushiwa, hapo huna ujanja apply diploma tu...issue sio tu kwamba B iwe sawa na C bali hiyo C yenyewe iwe na marks za C ya 2014 kurudi nyuma...hehehe
Au kama huna haja na udaktari apply kozi nyingine isiyotaka ufaulu wa physics tofauti na hapo apply diploma tu.
Pointi 3Hiyo d na c ni point ngapi?
Mbona points ziko vizuri? una D, B na B+ unajua tayari hizi ni points ngapi? Au hujui unachotaka usaidiwe?Sasa nifanyaje wakati guidebook imesema lazima uwe na point NNE. Yan two c's
Wameniambia not passed nimeshindwa kuvalidate my registrationMbona points ziko vizuri? una D, B na B+ unajua tayari hizi ni points ngapi? Au hujui unachotaka usaidiwe?
Hiyo ni SECNdugu zangu wana jf mie nimehitimu kidato cha sita mwaka Jana nimesoma PCB nikapata phy d Chem b na bios b+
Nimeanza kuapply nilipofika validation wakanibia not passed kwa upande Wa A level? Msaada jamani
Sielewi mkuuOooooh kumbe yamebadilishwa. Ila mbona sifa unazo sasa!
75_100A ilikua inaanzia ngapi hadi ngapi?
Ndio hivyoDuuh unasema kwel Mbona stress tutafanyajee
Nichek 076453108075_100