Recent content by Ibra3

  1. Ibra3

    JamiiForums Tanzania Tumeshuhudia ufanano kadhaa kwa maeneo ya Uislamu na kile kimeandikwa kwenye Biblia, na desturi za Uyahudi na Ukatoliki. Unajua sababu?

    Mwanadam mwenye critical thinking sifa yake kuu ni kuwa na uwezo wa kuwasilisha hoja bila dhihaka,kebehi wala matusi,
  2. Ibra3

    JamiiForums Tanzania Tumeshuhudia ufanano kadhaa kwa maeneo ya Uislamu na kile kimeandikwa kwenye Biblia, na desturi za Uyahudi na Ukatoliki. Unajua sababu?

    -ك-ب (R-K-B) │ ┌────────────┼────────────┐ │ │ │ Literal Figurative Extended meanings “Ride / Mount” “Be carried / Pressed” “Travel / Advance” │ │ │ - Ride a - Felt burden/ - To go on a journey horse/camel heaviness - Metaphor: spiritual ascent -...
  3. Ibra3

    JamiiForums Tanzania Tumeshuhudia ufanano kadhaa kwa maeneo ya Uislamu na kile kimeandikwa kwenye Biblia, na desturi za Uyahudi na Ukatoliki. Unajua sababu?

    Unaniuliza kuhusu torati na sina elimu nayo,na kuhusu Maryam mama yake Yesu anaitwa Binti Imran kwa sababu ni kutokana na kizazi cha Imran na walikua watu wa wakati huo wakiitwa kwa majina ya Mitume wao na watu wema kabla yao. Na kulingana na Quran Manabii wote wana kinga ya kutokosa katika...
  4. Ibra3

    JamiiForums Tanzania Tumeshuhudia ufanano kadhaa kwa maeneo ya Uislamu na kile kimeandikwa kwenye Biblia, na desturi za Uyahudi na Ukatoliki. Unajua sababu?

    Sisi Waislam hatubagui Manabii wa Mwenyezi Mungu tunawakubali wote kuanzia baba yetu Adam(A.S)na wengine wanaomfuata kama Nuhu,Ilias,Zakaria,Daudi,Suleiman pamoja na Nabii Ibrahim(A.S) na uzao wake wote mpaka Musa,Isa mnayemuita Yesu na mwisho Mtume Muhammad Rehma na Amani ziwe juu yake...
  5. Ibra3

    JamiiForums Tanzania Muhammad na ukopaji wa maneno ya kiyahudi bila kufahamu maana zake: Chanzo cha contradictions ndani ya uislamu

    Umejitahidi ila unapaswa kujua kuwa Quran imeteremshwa kwa lugha ya Kiarabu na lugha ya Kiarabu ni lugha ya jamii ya Semitic ambapo kuna lugha pia ya Kiebrania,Amhara,Tigrinya,Aramaic,Maltese na Kiarabu hivyo maneno kufanana si ajabu.Kwa mfano ili uelewe vizuri ni lugha za kibantu unakuta maneno...
  6. Ibra3

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mimi na Wapangaji Wenzangu

    Good
  7. Ibra3

    JamiiForums Tanzania Ni jambo jema Afrika Kusini kuwapokea wapalestina ila kuna siku mtajuta

    Hebu tuambie ni wapi Wapalestina walikaribishwa qakataka kupafanya kwao,na ukishindwa nakushauri umuogope Mungu na uache kusingizia binadamu wenzio ambao hawana makazi nani wakimbizi kwani Mungu aliekupa amani na usalama ndio aliewapa vita Mungu hakushindwa kukufanya wewe uww kwenye vita.Na pia...
  8. Ibra3

    JamiiForums Tanzania Msomali rep. Ilhan Omar wa USA ana bonge la skendo!

    Kazaliwa Somalia nchi isiyo na serikali ya kueleweka,kweli kabisa,lakini mwenzako yeye ni senator je wewe uliezaliwa kwenye nchi yenye serikali una nn?
  9. Ibra3

    JamiiForums Tanzania Devil’s family(familia ya mashetani) 01

    Ni hatari
  10. Ibra3

    JamiiForums Tanzania Waislamu kuweni wavumilivu

    Kwa kweli umeanza vizuri sana nikupongeze kwa hilo,ila swali langu ni kwanini unasema Uislam ni upagani wa kuQureysh ni nini kilichokufanya useme hivyo? Fafanua tafadhali
  11. Ibra3

    JamiiForums Tanzania Hili draft mbona silielewi

    Quick checkers ipo playstore
  12. Ibra3

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni 80s na 90s kid na haukuangalia hizi movies utotoni wakati unakuwa basi labda ulikulia msituni

    Best of the rest/paranawe (Marc Dagascos)
  13. Ibra3

    JamiiForums Tanzania Niko njiapanda ya kuchagua dini sahihi

    Kujiuliza kuhusu imani au jambo lolote kimaisha ni ishara njema inaonesha wewe unajitambua,la kufanya nenda Msikiti ulio karibu nawe au zungumza na mtu unayejua kua ana uelewa wa kutosha wa kidini fanya research,naamini utafanya chaguo lililo sahihi au kama vp niadd unielezee ni nini...
  14. Ibra3

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa madini msaada

    Google
  15. Ibra3

    JamiiForums Tanzania Devil’s family(familia ya mashetani) 01

    Poa
Back
Top Bottom