Inaonekana ulawiti na ubakaji viko kwa damu ya famili hii maana walifungua kituo kama danguro la kuwadhalilisha kingono watoto wadogo ni fedheha kujipanga mitaani kuwakaribisha wakati wazazi wa watoto wale kumi bado wanasononeka,kama unafurahia kuachiwa kwao wewe sio mzazi na hujui uchungu wa...
Me nakushauri tafuta wataalamu wakufunge speed governor ya moyo maana uendavyo kasi na Tanzania yetu hayo mambo yamejaa kila kona utakutana na tochi za traffic
Inawezekana ukapona kwa cabbage lkn napata wasiwasi kama asali inaweza kutibu maana asali yenyewe inadhuru sana kwa wenye vidonda vya tumbo au labda ni asali maalum
Sent using Jamii Forums mobile app
Mistari ya nini hiyo? Mashairi au ngonjera?
Me najua ukipima kwa capillius method kama majibu ni utata wanatumia Unigold na unigold ni fainali kama imeonyesha positive hakuna mistari wala ubeti elekea kitengo ukaanze kitengo
So Gilbert inamaanisha hao wametengeneza sumu than wakakosea wakaandika Paracetamol au vipi? Au wamefanya makusudi kutupunguza ili uchaguzi ukifika 2020 tuwe wachache kwenye election?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.