Ni jambo la kawaida kuota ndoto za shule kwasababu ni kipindi ambacho umetumia muda mrefu wakati unakua na ni kipindi ambacho Ubongo wako ulikuwa unajifunza vitu vingi sana.
Binafsi sidhani kama ni tatizo, hizo imani za kiroho kama wanazosema watu wengine ni masuala ya kiimani na kila mtu ana...
Wakuu Salaam,
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika.
Barabara tajwa hapo juu amekuwa mwiba mkubwa sana kwa usafiri kwa wakazi wa Ukonga maeneo yanayozunguka Kitunda. Barabara ina hali mbaya sana na inachangia kwa kiasi kikubwa sana kuharibu vyombo vya usafiri vya wakazi wa maeneo hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.