Sumsung galaxy note 8 ni fire

GoldenDude

Member
Jan 14, 2021
19
14
Habari za muda huu wanajukwaa, bwana nimefuatilia galaxy note 8 nimefurahisha na specifications zake. Dual camera, big screen size, high ram and other premium features, lakini kinachonipa wasiwasi ni battery ni 3300 mAh sijui kama ina drain faster naomba ushauri kwa alie wai kutumia mzigo, na pia nataka kujua madhara ya simu ambayo haipokei update tena.. Nawasilisha
 
Habari za muda huu wanajukwaa, bwana nimefuatilia galaxy note 8 nimefurahisha na specifications zake. Dual camera, big screen size, high ram and other premium features, lakini kinachonipa wasiwasi ni battery ni 3300 mAh sijui kama ina drain faster naomba ushauri kwa alie wai kutumia mzigo, na pia nataka kujua madhara ya simu ambayo haipokei update tena.. Nawasilisha
moja hutapata sim mpya hapo, utapigwa refurbished, japo sijajua utanunua kwa shilingi ngapi, ila nashauri kama budget yako ni ndogo tafuta new midrange zikobpoa sana bro.
eg Xiaomi redmi note 11 or 11 pro etc, Samsung A52 etc.
 
Habari za muda huu wanajukwaa, bwana nimefuatilia galaxy note 8 nimefurahisha na specifications zake. Dual camera, big screen size, high ram and other premium features, lakini kinachonipa wasiwasi ni battery ni 3300 mAh sijui kama ina drain faster naomba ushauri kwa alie wai kutumia mzigo, na pia nataka kujua madhara ya simu ambayo haipokei update tena.. Nawasilisha
Mkuu watu wako Note 20 ultra huko wewe unaongelea Note 8 leo hii?
 
moja hutapata sim mpya hapo, utapigwa refurbished, japo sijajua utanunua kwa shilingi ngapi, ila nashauri kama budget yako ni ndogo tafuta new midrange zikobpoa sana bro.
eg Xiaomi redmi note 11 or 11 pro etc, Samsung A52 etc.
Budget ya kununua S8 bongo refurbished ni 400k kwahio budget yeke ni 400k hawezi kupata A52 sababu A52 ni 850k atafute Redmi note 11 samsung A13 infinix note 12 and note 11
 
Asante kwa ushauri wakuu, my budget ni 450k kuhusu note 10 sitaweza, kuna mdau kanambia cheki rodmi note 11, nimeicheki gsm arena kikubwa nilichofurahi wametumia amoled, battery 50000 mAh naeza ifikiria naomba kujua bei, .......japo nilitamni hii note 8 au s9 + sema s9 plus inakula sana chaji kutokana na chipset yake ilivo,,, kuhusu android 7 yake kuwa upgradable hadi 9 oreo tu na kutokupokea updates zingine mimi sijali, maana ata adroids kama lollipop, Marshmallows still ni nzuri, hili la wadau kusema refurbished phones zina shida ndio imeniondolea shakua ya kuvuta note 8 Binafsi wasiwasi wangu ulikuw tu ni kweny betri mAh 3300 tu... Japo natamani hiyi edges phones sana... Midrange sitamni ata kusikia hii ni baada ya kununua a 10s kioo kama cha saa, alafu naomba ushaidi wa mtumizi wa hizi flagship kuanzia mwaka 2018 kushuka chini s series na note series kuhusu ukaaji wa chaji kwa simu zenye mAh chin ya 3500. Mimi natumia j 7 2016 simu ya maika 6 iliyopita ila ni nzri kiasi nimejichanga ntak not8 ya 2018 kweli ntajutia?
 
Kuna mjadala mkubwa sana.

Nitaomba wataalam wamsaidie hapa:

Old Flagship vs Currently Mid Ranger.
 
moja hutapata sim mpya hapo, utapigwa refurbished, japo sijajua utanunua kwa shilingi ngapi, ila nashauri kama budget yako ni ndogo tafuta new midrange zikobpoa sana bro.
eg Xiaomi redmi note 11 or 11 pro etc, Samsung A52 etc.
Iyo xiaomi shi ngapi
 
moja hutapata sim mpya hapo, utapigwa refurbished, japo sijajua utanunua kwa shilingi ngapi, ila nashauri kama budget yako ni ndogo tafuta new midrange zikobpoa sana bro.
eg Xiaomi redmi note 11 or 11 pro etc, Samsung A52 etc.
Simu zote ambazo ni refurbished ni mbovu? Au zina changamoto
 
Kuna mjadala mkubwa sana.

Nitaomba wataalam wamsaidie hapa:

Old Flagship vs Currently Mid Ranger.
ni mara chache sanakukuta currently midrange ina perfomance kubwa kuliko flagship hata ya miaka 3 nyuma.

kinachowatia watu wasi wasi ni uzima wa simu ambayo iko duniani miaka kadhaa nyuma,maama midrange ni brand new.
 
Ninayo hapa toka 2020 niliagizia UAE ipo fresh kabisa inapiga mzigo ila Samsung wanajua kutengeneza simu nunua mkuu hutojutia.
 
Asante kwa ushauri wakuu, my budget ni 450k kuhusu note 10 sitaweza, kuna mdau kanambia cheki rodmi note 11, nimeicheki gsm arena kikubwa nilichofurahi wametumia amoled, battery 50000 mAh naeza ifikiria naomba kujua bei, .......japo nilitamni hii note 8 au s9 + sema s9 plus inakula sana chaji kutokana na chipset yake ilivo,,, kuhusu android 7 yake kuwa upgradable hadi 9 oreo tu na kutokupokea updates zingine mimi sijali, maana ata adroids kama lollipop, Marshmallows still ni nzuri, hili la wadau kusema refurbished phones zina shida ndio imeniondolea shakua ya kuvuta note 8 Binafsi wasiwasi wangu ulikuw tu ni kweny betri mAh 3300 tu... Japo natamani hiyi edges phones sana... Midrange sitamni ata kusikia hii ni baada ya kununua a 10s kioo kama cha saa, alafu naomba ushaidi wa mtumizi wa hizi flagship kuanzia mwaka 2018 kushuka chini s series na note series kuhusu ukaaji wa chaji kwa simu zenye mAh chin ya 3500. Mimi natumia j 7 2016 simu ya maika 6 iliyopita ila ni nzri kiasi nimejichanga ntak not8 ya 2018 kweli ntajutia?
Samsung s series sio nzuri zinatoka mistari kwenye kioo nyingi ndo zinakufaga hivyo ila note series
 
Simu zote ambazo ni refurbished ni mbovu? Au zina changamoto
Sio mbovu ila zinaweza kuwa zimebadirishwa baadhi ya vitu. Kama unataka used tafta maduka yanaouza used from korea maana kule hawaruhusu kufanya refub ila kama ni used from dubai unaweza ambiwa ni used kumbe ni refub
 
Asante kwa ushauri wakuu, my budget ni 450k kuhusu note 10 sitaweza, kuna mdau kanambia cheki rodmi note 11, nimeicheki gsm arena kikubwa nilichofurahi wametumia amoled, battery 50000 mAh naeza ifikiria naomba kujua bei, .......japo nilitamni hii note 8 au s9 + sema s9 plus inakula sana chaji kutokana na chipset yake ilivo,,, kuhusu android 7 yake kuwa upgradable hadi 9 oreo tu na kutokupokea updates zingine mimi sijali, maana ata adroids kama lollipop, Marshmallows still ni nzuri, hili la wadau kusema refurbished phones zina shida ndio imeniondolea shakua ya kuvuta note 8 Binafsi wasiwasi wangu ulikuw tu ni kweny betri mAh 3300 tu... Japo natamani hiyi edges phones sana... Midrange sitamni ata kusikia hii ni baada ya kununua a 10s kioo kama cha saa, alafu naomba ushaidi wa mtumizi wa hizi flagship kuanzia mwaka 2018 kushuka chini s series na note series kuhusu ukaaji wa chaji kwa simu zenye mAh chin ya 3500. Mimi natumia j 7 2016 simu ya maika 6 iliyopita ila ni nzri kiasi nimejichanga ntak not8 ya 2018 kweli ntajutia?
Kwa 450k kama unaenda Route ya used Lg g8x ama oneplus 7 ni simu nzuri sana, ni equivalent ya galaxy s10. Sema zote ni za kuagizishia online.

Kwa mpya Hio redmi note 11 imetulia, kioo chake cha Amoled ni kizuri sana kwa hio budget.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom