Cha ajabu nimesikia waziri leo akisema awamu ya tatu ya mabasi yaendayo kasi kwa dar yataihusu barabara hiyo!kwa hiyo wakazi wa huko jiandaeni tena kwa adha nyingine ya foleni..maana yaonyesha itabomolewa tena!!
Ndio hivyo kazimishwa pale tena hata wa ccm walionekana kumuunga mkono mkosamali kua waziri atoe maelezo ya kutosha tarehe za kuanza kila mradi wa ujenzi wa barabara
Ni saa 4.00 asubuhi hii tbc wamekata matangazo na kuweka burudani ya nyimbo hadi itakappfika saa 5:10 kisha kitafuata kipindi cha Mapishi! walikua wakirusha kipindi cha bunge live wengi tukifuatilia,sasa tatizo ni nini?kipi bora kati ya hizi nyimbo na bunge?wananchi hasa sehemu ambazo bado...
Hii tv bado hawana vipindi vya maana na si wao tu hata radio...kidogo ktk tv ni kile cha sports ...wameegemea zaidi ktk matangazo kuliko kupasha habari!!
Media zetu baaado sana si wao tu Dtv wao kutwa nzima usiku kucha ni bongo flava...udhaifu mkubwa kwa tvs station nyingi tu hapa kwetu hata redio!taarifa ya habari radio one habari za taifa dkka 3?wanashindwa hata na ki redio station kidogo cha WAPO FM jamaa wana ma reporter nchi nzima!hadi...
Mnyika alihoji swala la msingi kweli kuhusu umiliki wa Uda..akatolewa nje mwongozo wake..lkn imeonekana wazi shirika la Uda kuna utata pale,,na serikali ishajichanganya eti wanasema Uda tayari ipo chini ya umiliki wa halmashauri ya jiji pamoja na serikali...myika kauliza mbona bado Simon group...
Nina wasiwasi kama watapunguza msongamano kwanza baadhi ya njia wamefunga mfano hapo akiba..zitaingia bus zao tu!watu na ofisi zilizopo hapo kati mtaa wa libya/morogoro wataingia vipi na magari yao?njia za kasi ni ferry kwenda kimara mwisho na magomeni to morroco!vipi kuhusu kwengineko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.