Waziri Magufuli amelidanganya Bunge

Waziri Magufuli amelidanganya Bunge

Amesema hotuba yake ipo kwenye website ya wizara. Hata sijaiona...
 
Nipo hapa nikisikiliza hotuba ya Bajeti ya wizara ya Ujenzi inayosomwa na Waziri John Magufuli. katika hotuba yake ameliambia Bunge sasa hivi kuwa UJENZI WA BARABARA YA LAMI KUANZIA TABATA DAMPO HADI KIGOGO UNAENDELEA.

Jamani mimi ni mtumiaji wa kila siku wa barabara hii ya Tabata Dampo Kigogo nikitokea Tabata Segerea kuelekea Mjini kwenye shughuli zangu. Mara ya mwisho nimepita leo hii jioni. ukweli ni kwamba WAZIRI AMELIDANGANYA BUNGE na hakuna hata dalili za kuwepo kwa ujenzi wa barabara ya lami zaidi ya kuharibika vibaya kwa barabara hiyo.

Nawaomba wabunge wa dar es salaam kusimama kidete kupinga uongo huu wa Magufuli ambao hauna faida kwa wananchi. Mnyika na Mbunge wa Kinondoni Idd Azan tafadhalini hakikisheni mnamwambia ukweli Magufuli kuwa amewadanganya wananchi na taifa lote kwa ujumba.

wEWE NI LOW BRAIN KWELI! UJENZI UNAANZIA HATUA ZA AWALI KAMA KUMPATA MKANDARASI NDO BARABARANI...LOW CHARGE WEWE!
 
Nafikiri waziri ana ubia na mijitu inayoanza kutuuzia idea ya private road toll.
 
Mbunge wa Segerea Dr.Makongoro Mahanga(Bila kuhoji Authenticity ya Ph.D yake hiyo) ameonyesha jinsi asivyokuwa Muwakilishi sahihi wa Jimbo la Segerea kwa kukaa kimya na kumuangalia Waziri wa Ujenzi John Pombe Magufuli akidanganya kuhusu ujenzi wa barabara ya Tabata Dampo kuelekea Kigogo

Magufuli anasema ujenzi unaendelea wakati ukweli ni kuwa hakuna Ujenzi wowote unaoendelea na Barabara hiyo huwa ninaitumia

Waziri Magufuli aliyejijengea aura ya kuwa Waziri Mchapakazi mwenye uwezo wa kumeza na kutema Takwimu anadanganya bila aibu?

Je,katika Takwimu zote alizowahi kutoa ,tutaweza vipi kuziamini ?Inawezekana ameshadanganya sana kwa staili hii na ukizingatia Watanzania wengi sisi ni waoga wa Takwimu au Tarakimu

Mbunge wa Segerea amekaa kimya wakati uongo na upotoshaji huu ukiendelea

Ni matarajio yangu kuwa sasa Magufuli ataomba Radhi kwa Uongo huu ndani ya Bunge na kwa wananchi wa Jimbo la Segerea

Si vyema kuleta excuse kuwa waziri kadanganywa na wasaidizi wake.Maana kama this is the case basi credibility yake ipo mashakani na reliability ya Hoja na Takwimu zake anazotoa Bungeni ni ya kutiliwa mashaka

Aluta Continua,Victory Ascerta....!

Mkuu hilo Dr kongoro ni bonge la kilaza.
 
Huyu ni mzigo namba 2 baada ya Pinda,mbwembwe zake hasa anapokutana na wananchi zinakera sana wakati hakuna uhalisia wa anachokisema
 
Nipo hapa nikisikiliza hotuba ya Bajeti ya wizara ya Ujenzi inayosomwa na Waziri John Magufuli. katika hotuba yake ameliambia Bunge sasa hivi kuwa UJENZI WA BARABARA YA LAMI KUANZIA TABATA DAMPO HADI KIGOGO UNAENDELEA.

Jamani mimi ni mtumiaji wa kila siku wa barabara hii ya Tabata Dampo Kigogo nikitokea Tabata Segerea kuelekea Mjini kwenye shughuli zangu. Mara ya mwisho nimepita leo hii jioni. ukweli ni kwamba WAZIRI AMELIDANGANYA BUNGE na hakuna hata dalili za kuwepo kwa ujenzi wa barabara ya lami zaidi ya kuharibika vibaya kwa barabara hiyo.

Nawaomba wabunge wa dar es salaam kusimama kidete kupinga uongo huu wa Magufuli ambao hauna faida kwa wananchi. Mnyika na Mbunge wa Kinondoni Idd Azan tafadhalini hakikisheni mnamwambia ukweli Magufuli kuwa amewadanganya wananchi na taifa lote kwa ujumba.

Wewe ni kimeo mkubwa, Huna haya nguruwe wewe, tangu lini wewe ukawa na gari? Kapumzike kaburini.
 
Makusudically asante sana lakini hakuna mahali niliposema mimi nina gari katika maandishi yangu. Mimi ni mteja mzuri wa barabara hiyo bila kujali natumia usafiri wa aina gani. Hata hivyo nakushukuru sana mkuu kwa comment yako iliyoenda shule.
 
Last edited by a moderator:
Dr.john pombe magufuri kesho wabunge wataijadili bajeti yake,na yeye baadae atapata nafasi ya kutoa majumuisho ya majibu yake kutokana na hoja za wabunge,natumai kama amedanganya au lah,wabunge husika wapo mjengoni,watauliza na zaidi watamnukuu katika hiyo hotuba yake inayodaiwa kuwa kadanganya,sioni busara ya baadhi ya michango kukejeli au kutoleana lugha zisizokuwa na staha,tusubiri michango ya wabunge kesho na pia tusubiri majibu yake ya majumuisho ndo tutoe hukumu.
 
Yani makufuli ni moja ya wanasiasa wanaofanya siasa yepesi sana
Eti mtu kama makufuli naye anandoto za kuja kuwa rais wa nchi hii
Siku ikitokea hivyo nabadili uraia nachukuwa wa somalia

tutakuwa wote somalia,ila me ntakua somaliland mdau Kibo10
'MAGUFULI NI MFUNGWA MTARAJIWA'-SUGU
 
Last edited by a moderator:
Dr.john pombe magufuri kesho wabunge wataijadili bajeti yake,na yeye baadae atapata nafasi ya kutoa majumuisho ya majibu yake kutokana na hoja za wabunge,natumai kama amedanganya au lah,wabunge husika wapo mjengoni,watauliza na zaidi watamnukuu katika hiyo hotuba yake inayodaiwa kuwa kadanganya,sioni busara ya baadhi ya michango kukejeli au kutoleana lugha zisizokuwa na staha,tusubiri michango ya wabunge kesho na pia tusubiri majibu yake ya majumuisho ndo tutoe hukumu.

na hili la barabara ya tabata - kigogo unataka tusubiri majumuisho ya magufuli kesho,,,mwache akejeliwe maana na yeye huwakejeli sana watanzania,,,,,,KUCHAMBA KWINGI MWISHO KUTOKA NA MAVI,,,,,,,ngoma ikilia sana?????
 
Wewe ni kimeo mkubwa, Huna haya nguruwe wewe, tangu lini wewe ukawa na gari? Kapumzike kaburini.

unadhan kuna mtu atakusuport,inaonesha between 0-6 years ulikosa malez,,,,,na kisaikolojia wewe hata kujichamba hujui,binafs sina gari na barabara hii nimeitumia usiku wa leo,ipo kama ilivyo
 
Huo ni uongo uliopitiliza, kabla mvua hazijaanza kuna mkandarasi alikua anaweka kifusi, alikua anafanya kazi chini ya kiwango bahati yake mvua ikaanza na nazani ndo amepata kisingizio, kwa vyovyote atasema alishamaliza kazi ila mafuriko ndo yakaharibu...

Mkuu Umetisha !
 
Hao Wachaga walioko kataika siasa ni kwaajili ya kujinufaisha wao na familia zao, ndo maana wengi wao wanataka wawe viongozi wa vyama ili wafaidike na ruzuku pamoja na misaada kutoka kwa washirika.
Nimekueleza huwezi ukasema fulani hawezi kuwa Rais wakati hapohapo unampigia chapuo ndugu yako wa kutoka Kaskazini, Magufuli anavigezo vyote vya kuwa Rais hata huo uamuzi mgumu alishafanya mara nyingi tu.


Uwezo wako wa kufikiri ni finyu sana
Unaongea ukabila karne hii sio kosa lako
Mchaga ndio mtu amekuwa akileta changamoto kwenye siasa za tz toka tunapata uhuru
Na mpaka leo fanya tathimini ni wachaga wangapi wapo kwenye siasa na wanaifanya ccm hailali
Si niya yangu kukupa uwezo wa mchaga kwenye siasa za tanzania
Ila nimejaribu kukutoa kwenye ujinga uliyotawala akili yako kuhusu wachaga
Jifunze kujenga hoja au kujibu bila kuhusisha ukabila na udini ili tuweze kukuamini kile unachokisimamia usiwe na damu ya nape utafeli mkuu
 
Kitendo chako cha kumbagua Magufuli nami nasema haitakuja tokea mchaga akawa president wa Tangayika na Tanzania
Hii umesema tu wewe, lakini wewe sio Mungu, sio malaika na wala sio wapiga kura zaidi ya million 20,,,Kikubwa awe mchagga awe mmakua au mbarabaigi tunataka rais msema kweli na atakayeweza kulinasua taifa hili hapa liliponasa, ni ulimbukeni na ukosefu wa elimu kuanza kuzungumzia ukabila wa mtu kabla ya uwezo wake na uadilifu wake!
 
Back
Top Bottom