Spika Ana Makinda anachuki na wapinzani

Spika Ana Makinda anachuki na wapinzani

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
123,250
Reaction score
98,243
Leo kuanzia binge linaanza kila mbunge WA upinzani alipokuwa anachangia,spika alionekana kukerwa na kukunja sura,hivi kwanini huyu mama hasivumilie akamalizia ngwe take vizuri?
 
Jamani!Kwani bunge leo lishakaa?Saa hizi si saa 7 na ni siku ya Ijumaa,mi najua bunge lilikaa jana Alhamis!Msikurupuke toka kwenye usingizini mkaanza kupost "utumbo".
 
Anakaribia kuanza mp msamehe bure
 
Mnyika alihoji swala la msingi kweli kuhusu umiliki wa Uda..akatolewa nje mwongozo wake..lkn imeonekana wazi shirika la Uda kuna utata pale,,na serikali ishajichanganya eti wanasema Uda tayari ipo chini ya umiliki wa halmashauri ya jiji pamoja na serikali...myika kauliza mbona bado Simon group nae yumo?kivipi?aah akakalishwa chini!
 
Ndio maana ya upinzani, huwezi kujuwa kila kitu.
 
Anakaribia kuanza mp msamehe bure

Jamani Humu Wote Tunachangia, Kupigana Madongo Kiaina Na Tukigombana au Kuhitilafiana Basi Tunaombana Radhi ILA KWA LUGHA Hii Ya Mdau Wangu Sidhani Kama Ni Heshima. Jamani Huyu Mama Hata Kama Ana Mapungufu Yake Ila Nina Uhakika Kwa Tulio Wengi Humu JF Huyu Spika Wa Bunge Ni Sawa Na Mama Yetu. NIMEJISIKIA Vibaya Sana Lugha Hii Kutumika Dhidi Yake. Mimi Na UCHAKARAMU Wangu Wote JAMANI NINAWAHESHIMU Sana Akina Mama Tena Haswa Wale NINAOWAONA Wana Rika Moja Na Mama GENTAMYCINE. Samahani Mdau Mwenzangu Kama Nitakuwa Nimekukwaza ILA Tujitahidi Tuwape Heshima Stahili Hawa Mama Zetu Na Hata Baba Zetu ILA Haswa Haswa Mama Zetu. NIMEJISIKIA VIBAYA Sana.
 
Mama Anna anafanya kile waliomweka wanataka na hana ubavu wa kufanya tofauti na hivo kwani hatomaliza hata wiki anarudi kwenye kiti chake cha ubunge,hatuwezi jua labda huyu huyu anaweza akakabidhiwa white house kwani kama akina Lowassa,Membe,6 na wengine wakiambiwa waanze kuvaa skirt na mawigi wataweza?
 
Mama Anna anafanya kile waliomweka wanataka na hana ubavu wa kufanya tofauti na hivo kwani hatomaliza hata wiki anarudi kwenye kiti chake cha ubunge,hatuwezi jua labda huyu huyu anaweza akakabidhiwa white house kwani kama akina Lowassa,Membe,6 na wengine wakiambiwa waanze kuvaa skirt na mawigi wataweza?
Ha ha ha ha ha ha aha haaaa..................!!!!!!!!!!!
 
Wakati Halima Mdee anachangia jana,,,huyu mama alinuna kinoma,,

Hata ile kusema "asante" yenye lafudhi ya kikwao hakusema,,,aisee!
 
Wewe ndio mume wake hadi unamsemea hayo?

Ungekua umesoma japo mpaka darasa la sita ungejua kwamba wanawake wanaacha kuona siku zao wafikishapo miaka arobaini na tano. Hapo kwenu kunawanawake watu wazima hebu waulize.
 
Jamani Humu Wote Tunachangia, Kupigana Madongo Kiaina Na Tukigombana au Kuhitilafiana Basi Tunaombana Radhi ILA KWA LUGHA Hii Ya Mdau Wangu Sidhani Kama Ni Heshima. Jamani Huyu Mama Hata Kama Ana Mapungufu Yake Ila Nina Uhakika Kwa Tulio Wengi Humu JF Huyu Spika Wa Bunge Ni Sawa Na Mama Yetu. NIMEJISIKIA Vibaya Sana Lugha Hii Kutumika Dhidi Yake. Mimi Na UCHAKARAMU Wangu Wote JAMANI NINAWAHESHIMU Sana Akina Mama Tena Haswa Wale NINAOWAONA Wana Rika Moja Na Mama GENTAMYCINE. Samahani Mdau Mwenzangu Kama Nitakuwa Nimekukwaza ILA Tujitahidi Tuwape Heshima Stahili Hawa Mama Zetu Na Hata Baba Zetu ILA Haswa Haswa Mama Zetu. NIMEJISIKIA VIBAYA Sana.

Kweli kabisa..alichoandika sio sawa.. msamehe ndugu yangu..tusonge mbele
 
Mnyika alihoji swala la msingi kweli kuhusu umiliki wa Uda..akatolewa nje mwongozo wake..lkn imeonekana wazi shirika la Uda kuna utata pale,,na serikali ishajichanganya eti wanasema Uda tayari ipo chini ya umiliki wa halmashauri ya jiji pamoja na serikali...myika kauliza mbona bado Simon group nae yumo?kivipi?aah akakalishwa chini!

mmiliki wa uda ni riz 1 ndo mana wana kigugumizi
 
Huyu hata angekuwa na mme,wangeshaahindana!! Amewaangusha sana wanawake!!
 
Sio kila kitu wanawake wanaweza

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Back
Top Bottom