Recent content by Ibanda1

  1. Ibanda1

    Kuna habari nzito inakuja hii ya polepole ni cha mtoto .!

    Huyo ni coward sana hawezi kusema neno lolote, alafu hakuna jipya hapo. Major move ilikuwa ni ya Lowassa tu na ile iliwatikisa haswaa
  2. Ibanda1

    NATAFUTA KAZI

    Kuna kazi ya Direct sales Agent NBC, kama utakuwa tayari njoo PM
  3. Ibanda1

    Msaada Hotel na lodge za manzese ya Bei nafuu 15-20

    Kuna lodge ipo pale manzese Darajani karibu na mkwere Bar inaitwa syprus lodge bei yake ni 20k chumba safi,AC kama uko njombe usalama wa hali ya juu, ipo barabarani. Changamoto yake ni kelele za mziki kutoka bar za pembeni ila fresh tu
  4. Ibanda1

    JamiiForums Usiku wa manane

    03:51
  5. Ibanda1

    Waziri wa Utumishi, options za loan takeover na restructuring kwenye mfumo wa ESS utumishi hazifanyi kazi. Hata deni la HESLB mpaka leo haliuzikii!!!

    Huu mfumo kuna wakati nawaza kwamba wali introduce ili kuwalinda giant banks wasinunuliwe wateja wao? Kwani imekuwa kero na tumepiga kelele sana lakini hakuna jambo wanafanya aisee
  6. Ibanda1

    Msaada tatizo la taa ya check engine kwenye premio 1NZ

    Habari wakuu Gari yangu imepata changamoto inawasha taa ya check engine, nikamtafuta fundi kwa ajili ya diagnosis, tukapata code p1656 (vvti sensor toyota) fundi akasema ni tatizo la vvti sensor tumbedilisha lakini bado taa inawaka. Kwa mtu aliyewahi kukutana na tatizo kama hili naomba msaada...
  7. Ibanda1

    Msaada wa haraka: Jinsi ya kuangalia fine kwenye gari ama leseni

    Habari za jioni wanajukwaa; Wiki moja iliyopita niliandikiwa fine kwa makosa mawili na traffic ila akaniambia hawezi kunipatia risiti kwa sababu mtandao ulikuwa unasumbua hivyo akaniagiza nikimuona traffic yeyote nimuombe hiyo risiti ili niweze kulipa deni. lakini nikakumbuka siku za nyuma...
  8. Ibanda1

    Msaada: Toyota Premio kuishiwa nguvu inapopanda mlima

    Asante mkuu, unaweza kunisaidia recommended engine oil na gearbox hydraulic ya premio?
  9. Ibanda1

    Msaada: Toyota Premio kuishiwa nguvu inapopanda mlima

    Habari wanajamvi, Gari yangu Toyota premio (1.5L) imekuwa na changamoto kadhaa amabazo nashindwa kizipatia majawabu. (i) Gari kukosa nguvu inapopanda mlima, hili tatizo lilianza miezi mitatu iliyopita siku moja nilinusurika ajali wakati nina overtake kwenye mlima nilishangaa gari hainipi ile...
  10. Ibanda1

    Plot4Sale Kiwanja kianuzwa Dodoma

    Habari wandugu, kiwanja cha makazi kinauzwa kipo mjini Dodoma, ntyuka mtaa wa chimala. Kimepimwa Kina ukubwa wa Square meter 408, kipo Karibu na barabara pia nguzo ya umeme ipo pembeni ya kiwanja na Bomba la maji limepita pembezoni mwa kiwanja.
  11. Ibanda1

    Usitumie "Reviews" kama kigezo cha kununua Bidhaa mtandaoni utajuta

    Yaani wamewaka vibaya mno, ameongea kila lugha chafu ila nikamwambia hana cha kunifanya
  12. Ibanda1

    Usitumie "Reviews" kama kigezo cha kununua Bidhaa mtandaoni utajuta

    Ni website za makampuni genuine yaani tour companies zote za hapa Tanzania ndio wanakuletea uweke review
  13. Ibanda1

    Usitumie "Reviews" kama kigezo cha kununua Bidhaa mtandaoni utajuta

    Zile ambazo hawajanilipa tayari nimezivuruga
Back
Top Bottom