Recent content by I Love Miss Chagga.

  1. I

    JamiiForums Tanzania Mwanamke huyu anaitesa sana roho yangu

    toa ushamba wako hapa,muhusika haja complain wewe inakuuma nini? wivu tu huna lolote.
  2. I

    JamiiForums Tanzania Kisa kizuri chenye mafunzo

    nitamnunulia wife ahsante,,
  3. I

    JamiiForums Tanzania Mrembo ajiua kwa kuhofia kufikisha miaka 30 bila mume wala mtoto

    Ngoja nifanye haraka kumuoa misschagga wangu asije kujiua bure.
  4. I

    JamiiForums Tanzania Mwanamke huyu anaitesa sana roho yangu

    tinnacute nisaidie nimpate wife.
  5. I

    JamiiForums Tanzania Mwanamke huyu anaitesa sana roho yangu

    all these shall be talked in pm.
  6. I

    JamiiForums Tanzania Mwanamke huyu anaitesa sana roho yangu

    haha! niombe msamaha,mie mtoto tena?njoo pm tuyamalize.
  7. I

    JamiiForums Tanzania Mwanamke huyu anaitesa sana roho yangu

    ahsante bro,mueleweshe bwana.
  8. I

    JamiiForums Tanzania Mwanamke huyu anaitesa sana roho yangu

    hahhahhah! nimeshamjua mchawi wangu,ni wewe sister,nikimkosa kabisa misschagga kwa jinsi nilivyompania,naapa nitakufa na wewe,unajua nampenda kiasi gani hadi unaanza kumshawishi? ngoja tutaona,hii game wakuda wote hamtakiwi na nimetoa onyo mapema,take care sana sister na uniachie mke wangu...
  9. I

    JamiiForums Tanzania Mwanamke huyu anaitesa sana roho yangu

    and the extremely stiff shall beat down the impossible and at last the extremely stiff shall emerge being a winner and grab misschagga to its position forever and ever!
  10. I

    JamiiForums Tanzania Mwanamke huyu anaitesa sana roho yangu

    ni kipi tena hawezi kukushauri sister maana bila hicho wewe huwezi?jamani darling haya maisha tu,tulizaliwa uchi na mali zote tumezikuta duniani,na hapa duniani tunapita tu,nakuomba uwe nami jamani,pesa zipo nyingi mno duniani tutapata tu,usikubali kuolewa na mwanaume mwenye pesa atakusimanga...
  11. I

    JamiiForums Tanzania Mwanamke huyu anaitesa sana roho yangu

    if someone asks you whether you love gold or not,your answer will be,yes you love gold,if he once again asks have you ever seen gold? I guess you will maintain silence because you have never ever seen gold,but the reason behind to loving it, is simply because gold is precious and valuable,and...
  12. I

    JamiiForums Tanzania Mwanamke huyu anaitesa sana roho yangu

    Nimeamini kweli mapenzi yanaua kabisa,watu wameuana kwa sumu,risasi,visu,mishale,mikuki,na kila aina ya silaha kisa mapenzi,ukitaka kumharibia mtu siku yake basi mguse kwenye mapenzi. Nachoandika hapa nipo serious kupita kiasi,mtu akileta utani hapa wakati mimi nateseka na kupenda naapa...
  13. I

    JamiiForums Tanzania Miss Chagga Hebu Kuja Pande Hii Haraka

    bushland tuheshimiane pls,mie nataka ndoa na si papuchi,hujui kuwa ndoa ni zaidi ya kufanya mapenzi? kama nina shida na papuchi mbona zipo nyingi tu mitaani? mie nataka ndoa bwana.
  14. I

    JamiiForums Tanzania Miss Chagga Hebu Kuja Pande Hii Haraka

    Wakuu hii siyo utani nipo serious kabisa, nimetokea sijui niseme kumkubali sana miss chagga, maana nikisema nampenda sana nitaulizwa ulishawahi kumuona ? umri wangu ni miaka 31, kazi yangu ni biashara na kipato changu kwa mwezi ni sh milioni 2.3 au zaidi kulingana na fluctuation ya ka biashara...
  15. I

    JamiiForums Tanzania Mama Tibaijuka, Flora Mbasha &Co.-Mtashinda tu!

    Mke Mwema Ni Miss Chagga Tu,mbasha Alipotea Pa
Back
Top Bottom