Mwanamke huyu anaitesa sana roho yangu

Mwanamke huyu anaitesa sana roho yangu

Joined
Dec 16, 2014
Posts
21
Reaction score
24
Nimeamini kweli mapenzi yanaua kabisa,watu wameuana kwa sumu,risasi,visu,mishale,mikuki,na kila aina ya silaha kisa mapenzi,ukitaka kumharibia mtu siku yake basi mguse kwenye mapenzi.

Nachoandika hapa nipo serious kupita kiasi,mtu akileta utani hapa wakati mimi nateseka na kupenda naapa nitalamba life ban kuliko kuniletea dharau hapa,nawaonya mapema.

Cheza na vyote ila usicheze na moto wa kupenda,namuomba sana huyu mwanamke na anajijua kabisa auponye moyo wangu jamani.

Tatizo sasa hivi nimefulia ndio maana naogopa hata kumvaa mazima,ila najua mapenzi si pesa,tutaishi tu na mafanikio yatakuja hapo baadae.

nimeshaumia vya kutosha nimeona bora mnipigie debe,yaani I'm Seeking for public sympathy,kama nina ushamba wa ku seduce nisaidieni jamani,nampenda huyu mwanamke and it's not a joke.
 
Sasa huna pesa na bado unataka mupenzi??ka.ko. j.o.e ulale boss.bila pesa siku hizi hamna mapenzi ndugu...kalaga baho
 
ukimtaka dadangu, posa ni very simple, just one Murano, ndufu na pipa moja lambege, dada jitokeze tutathmini dau.
 
wanawake wote wanajiuza, ukijua bei yake hakusumbui. sasa kama wewe unaenda umening'iniza pum.bu tu utangoja sana...eti pesa mtatafuta wote, angetaka mtu wa kutafuta naye si angetafuta na baba yake aliyemlea.
 
Kiswahili kinaugua kwako mleta mada nadhani mwalimu wako alisahau kukufundisha matumizi ya(,)eti eeh?
 
wanawake wote wanajiuza, ukijua bei yake hakusumbui. sasa kama wewe unaenda umening'iniza pum.bu tu utangoja sana...eti pesa mtatafuta wote, angetaka mtu wa kutafuta naye si angetafuta na baba yake aliyemlea.
@rene jr. jamani huna maneno ya kutia moyo hata uongo... ukweli lakini
 
Ngoja nikae vizuri nichukue data zote ili nimfikishie baba yake
 
eeh hii project bado inaendelea.......?@miss chagga patia tiba huyu kijana......
 
Back
Top Bottom