Recent content by i am kiombile

  1. i am kiombile

    DSTV wameingia mtaani, Startimes na wengine jiandaeni kisaikolojia

    Kuingia ntaani sio issues. Issue ni kupunguza gharama premium kuwa 35,000
  2. i am kiombile

    Rais Magufuli: Hata kama umekula hela si unyamaze!!

    Tunajiingiza kwenye ushabiki wa kisiasa na wala sio hoja. Ni vyema rais aheshimiwe na ashauriwe
  3. i am kiombile

    Vifahamu vyeo vya askari polisi wa Tanzania na alama zake

    Asante kwa ufahamu binafsi ckujua kabisa
  4. i am kiombile

    Vitendo SACCOS - kukopeshana bila riba

    Nafikiri una changamoto ya kujua taratibu za utoaji wa mikopo. Nakuahairi tembelea ofisi za saccos wakupe maelekezo ya namna ya utoaji mikopo usikurupuke. Tena mbali zaidi hata maana yenyewe ya neno saccos hujui
  5. i am kiombile

    USHAURI: Serikali iyanunue yale Makontena kwa Bei ya ACACIA ikayauze kwa Bei ya Prof. Mruma

    Ucje ukashangaa kuckia soko la madin yatokanayo na mchanga limeshuka bei
  6. i am kiombile

    Nani kumrithi Waziri wa Nishati na Madini Prof. Muhongo?

    Hata maige alikuwa kijana sana lkn alivurunda. Hii wizara Hata akae Donald Trump tutapigwa tu madini mmmhhh
  7. i am kiombile

    Mfumo wa Epicor wafeli kwenye halmashauri za Dar na Pwani

    Issue ya network haisababishwi na epicor. Network ni miundombinu tu sasa inatakiwa hizo halmashauri iziimarishe network zao ili epicor ifanye kazi vizuri. Epicor inaweza kufanya kazi pasipokuwa na internet na pia zina licence ya web browser kupitia internet pia muache kuwarubuni wananchi
  8. i am kiombile

    Rais Magufuli, mtumishi wa umma hafukuzwi kwa kauli

    Mimi nadhani rais jpm yupo right kabisa. Serikali imeshaingia hasara sasa wale watumishi ambao wana uhakika kuwa necta imewaonea waende mbele ya sheria wakadai haki yao ila wale ambao ni kweli feki au non qualified hawtaweza kwenda front kwa watajishitaki wenyewe. Serikali imeshakula hasara tena...
  9. i am kiombile

    Bei ya vyakula "Kilimanjaro Fast Food" pale Mombo si rafiki

    How can you compare their quality with others. Their is so poor hata mama ntilie vyakula vyao ni bora kulinganisha na wao
  10. i am kiombile

    Sababu za kutumbuliwa aliyekuwa Katibu Mkuu Nishati na Madini

    Ni hatua nzuri lazima tujue ukweli mana tunaibiwa tu
Back
Top Bottom