Nafikiri una changamoto ya kujua taratibu za utoaji wa mikopo. Nakuahairi tembelea ofisi za saccos wakupe maelekezo ya namna ya utoaji mikopo usikurupuke. Tena mbali zaidi hata maana yenyewe ya neno saccos hujui
Issue ya network haisababishwi na epicor. Network ni miundombinu tu sasa inatakiwa hizo halmashauri iziimarishe network zao ili epicor ifanye kazi vizuri. Epicor inaweza kufanya kazi pasipokuwa na internet na pia zina licence ya web browser kupitia internet pia muache kuwarubuni wananchi
Mimi nadhani rais jpm yupo right kabisa. Serikali imeshaingia hasara sasa wale watumishi ambao wana uhakika kuwa necta imewaonea waende mbele ya sheria wakadai haki yao ila wale ambao ni kweli feki au non qualified hawtaweza kwenda front kwa watajishitaki wenyewe. Serikali imeshakula hasara tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.