Recent content by Hziyech22

  1. H

    JamiiForums Tanzania Usajili wa Selemani Mwalimu kwenda Yanga ni uhitaji wa mahitaji ya team au ni kumkomoa mtani?

    Sera ya Blueco ni kwamba tunasajili wachezaji kwaajili ya biashara ya kuuza na wengine kwaajili ya kikosi ndio unaona ni wengi Sasa niambie Yanga na Simba tangu lini wanaproject ya kuuza wachezaji???
  2. H

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Nimeona Kuna tetesi za Skelly kutaka kujiunga na Chelsea anaona atapata mechi chache za kucheza sasa nikajiuliza Kama hapo kwenu anataka assurance ya kupata muda mwingi huku kwetu Chelsea atapataje? sio kwamba ni mchezaji mbaya ni mchezaji mzuri sana lakini huku kwetu tu General Moi Caicedo na...
  3. H

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Mashabiki wa Liverpool mbona kimya Usajili wenu mliofanya wa Araujo ila mnatabia mbaya na hampendi ushirikiano wa Epl kwanini muende kwa Araujo wakati sisi Wana blue tuna beki la Dunia Uncle Tosin alafu tunawapa Badiashile kama kifunganishio
  4. H

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mashabiki wengi wa Chelsea na football kwa ujumla Wana mu underrate sana Pedro Neto tuna wasifia wachezaji wengine kama Palmer, Caicedo n.k tunamuacha huyu jamaa lakini asikuambie mtu moja kati ya wachezaji muhimu ni huyu jamaa ndio maana makocha wengi huwa wanampenda baada ya ujio wa Estevao...
  5. H

    JamiiForums Tanzania Usajili wa Selemani Mwalimu kwenda Yanga ni uhitaji wa mahitaji ya team au ni kumkomoa mtani?

    Najua dili la Mudryk linakuuma ile mbaya ni kweli Mudryk hakuwa kwenye mipango yetu kabisa Hilo lilikuwa wazi ila tulikuwa tunahitaji left winger mwingine atakayeleta competition na Sterling kwenye hiyo nafasi na kwakuwa sokoni kulikuwa na mchezaji Bora kama Mudryk na anaelekea kwa wapinzani...
  6. H

    JamiiForums Tanzania Usajili wa Selemani Mwalimu kwenda Yanga ni uhitaji wa mahitaji ya team au ni kumkomoa mtani?

    Ulaya unaweza kufananisha na bongo, bongo ni sehemu pekee mchezaji anatambulishwa bila kumaliza taratibu za Usajili, bongo pekee wachezaji wanasajiliwa kwa kukomoana Huna kiungo mbunifu kwenye team unaenda kujaza mastriker sita kwenye team moja as if unacheza michuano 10??? Wewe umewahi kuona...
  7. H

    JamiiForums Tanzania Kiungo wa zamani wa Yanga Tonnombe Mukoko atapeliwa nyumba na mwanamke wa kibongo

    😂😂😂 Hauna huo ubavu
  8. H

    JamiiForums Tanzania Usajili wa Selemani Mwalimu kwenda Yanga ni uhitaji wa mahitaji ya team au ni kumkomoa mtani?

    Nimeshanganzwa na Usajili wa Selemani Mwalimu unaonesha mambo makuu mawili: 1. Uongozi mzima wa Simba hawafanyi vitu kiprofessional, huwezi kutambulisha mchezaji kwenye tamasha lenu kumbe ujamalizana na club na mchezaji kwa asimilia zote hii maana yake Nini? Mnafanya mashabiki wenu wasiwaamini...
  9. H

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Camp ya Vini walifanya hivyo ili kupush deal na Madrid na hatimaye wamefanikiwa ila Vini hakuwa na mpango wa kujiunga na Arsenal
  10. H

    JamiiForums Tanzania Ben Pol: Ukikutana na mazingira haya kwa mtu unayetaka kuanzisha nae mahusiano, ni bora uwe single

    Hapana sio kwa generation hii
  11. H

    JamiiForums Tanzania Ben Pol: Ukikutana na mazingira haya kwa mtu unayetaka kuanzisha nae mahusiano, ni bora uwe single

    😂😂😂 Ila jau sana unakuta mwanamke hakuulizi chochote kuhusu wewe Zaidi ya wewe kumuuliza sijui unajisikiaje Ukikutana na mazingira kama hayo
  12. H

    JamiiForums Tanzania Kiungo wa zamani wa Yanga Tonnombe Mukoko atapeliwa nyumba na mwanamke wa kibongo

    Mke wake Yuko busy kwenye show za usiku na kukatika viuno na anatuzwa hela clip zake zinatrend alafu sasa yeye yupo kimya
  13. H

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Meza dawa ya kutuliza maumivu naona home imepanda Bei 🤣
  14. H

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Haujaulizwa
Back
Top Bottom