Sera ya Blueco ni kwamba tunasajili wachezaji kwaajili ya biashara ya kuuza na wengine kwaajili ya kikosi ndio unaona ni wengi Sasa niambie Yanga na Simba tangu lini wanaproject ya kuuza wachezaji???
Nimeona Kuna tetesi za Skelly kutaka kujiunga na Chelsea anaona atapata mechi chache za kucheza sasa nikajiuliza Kama hapo kwenu anataka assurance ya kupata muda mwingi huku kwetu Chelsea atapataje? sio kwamba ni mchezaji mbaya ni mchezaji mzuri sana lakini huku kwetu tu General Moi Caicedo na...
Mashabiki wa Liverpool mbona kimya Usajili wenu mliofanya wa Araujo ila mnatabia mbaya na hampendi ushirikiano wa Epl kwanini muende kwa Araujo wakati sisi Wana blue tuna beki la Dunia Uncle Tosin alafu tunawapa Badiashile kama kifunganishio
Mashabiki wengi wa Chelsea na football kwa ujumla Wana mu underrate sana Pedro Neto tuna wasifia wachezaji wengine kama Palmer, Caicedo n.k tunamuacha huyu jamaa lakini asikuambie mtu moja kati ya wachezaji muhimu ni huyu jamaa ndio maana makocha wengi huwa wanampenda baada ya ujio wa Estevao...
Najua dili la Mudryk linakuuma ile mbaya ni kweli Mudryk hakuwa kwenye mipango yetu kabisa Hilo lilikuwa wazi ila tulikuwa tunahitaji left winger mwingine atakayeleta competition na Sterling kwenye hiyo nafasi na kwakuwa sokoni kulikuwa na mchezaji Bora kama Mudryk na anaelekea kwa wapinzani...
Ulaya unaweza kufananisha na bongo, bongo ni sehemu pekee mchezaji anatambulishwa bila kumaliza taratibu za Usajili, bongo pekee wachezaji wanasajiliwa kwa kukomoana Huna kiungo mbunifu kwenye team unaenda kujaza mastriker sita kwenye team moja as if unacheza michuano 10??? Wewe umewahi kuona...
Nimeshanganzwa na Usajili wa Selemani Mwalimu unaonesha mambo makuu mawili:
1. Uongozi mzima wa Simba hawafanyi vitu kiprofessional, huwezi kutambulisha mchezaji kwenye tamasha lenu kumbe ujamalizana na club na mchezaji kwa asimilia zote hii maana yake Nini? Mnafanya mashabiki wenu wasiwaamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.