Recent content by Hziyech22

  1. H

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ila mafan wa Arsenal mmeshindwa ku move on kwa Mudryk sijui ni kwanini
  2. H

    JamiiForums Tanzania Mwenzetu Jux kayakanyaga huko...

    Jux ni kama kaolewa
  3. H

    JamiiForums Tanzania Utundu ukizidi sana kitandani inakuwa kero

    Ni wanawake wawili mkuu
  4. H

    JamiiForums Tanzania Utundu ukizidi sana kitandani inakuwa kero

    Hapo ana nyege kama zote ukiangalia sana hizi movie za ngono madhara yake ndio haya
  5. H

    JamiiForums Tanzania Utundu ukizidi sana kitandani inakuwa kero

    Hiyo ni fantasy yake ameamka na nyege
  6. H

    JamiiForums Tanzania Utundu ukizidi sana kitandani inakuwa kero

    Mwenzako hapo yupo addicted na movie za ngono hiyo ni fantasy kaleta jamiiforum ionekane ni kweli
  7. H

    JamiiForums Tanzania Utundu ukizidi sana kitandani inakuwa kero

    Tangazo la Bei nafuu 😂
  8. H

    JamiiForums Tanzania Mwenzetu Jux kayakanyaga huko...

    Hii ni page ya burudani sio ya siasa Kuna jukwaa lake la siasa nenda katoe maoni yako kule
  9. H

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Msimu ule ulikuwa mbaya kwa karibia kwa kila player Palmer mwenyewe akarudi sio yule Palmer tunayemfahamu. Ni kweli baadhi ya mechi Pedro Neto alizingua lakini ni chache kulinganisha na mechi alizoperform vizuri kwa mchezaji huwa inatokea Kuna wakati upepo mbaya unakupitia
  10. H

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Huyu inabidi apelekwe kwa mkopo hasa kwenye team ya EPL aendelee kukua nafikiri Chelsea itabaki na Joao Pedro, Welbeck, Emanuel megher na Nicolas Jackson.
  11. H

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Hata kama soko gumu ndio wamchukue Araujo????
  12. H

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kocha anachangia, Klopp alikuwa ni Kocha mwenye jicho la kuona kipaji alikuwa anasaidia kwenye kupendekeza mchezaji gani anamtaka na wachezaji wengi anaowapendeza huwa sio maarufu ndipo maana wanakuwa cheap ila yeye ndio anawafanya wawe maarufu mfano mtu kama Robertson, Anold nani alikuwa...
  13. H

    JamiiForums Tanzania Usajili wa Selemani Mwalimu kwenda Yanga ni uhitaji wa mahitaji ya team au ni kumkomoa mtani?

    Ndio ujue mazingira yanatofautiana
  14. H

    JamiiForums Tanzania Usajili wa Selemani Mwalimu kwenda Yanga ni uhitaji wa mahitaji ya team au ni kumkomoa mtani?

    Sera ya Blueco ni kwamba tunasajili wachezaji kwaajili ya biashara ya kuuza na wengine kwaajili ya kikosi ndio unaona ni wengi Sasa niambie Yanga na Simba tangu lini wanaproject ya kuuza wachezaji???
  15. H

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Nimeona Kuna tetesi za Skelly kutaka kujiunga na Chelsea anaona atapata mechi chache za kucheza sasa nikajiuliza Kama hapo kwenu anataka assurance ya kupata muda mwingi huku kwetu Chelsea atapataje? sio kwamba ni mchezaji mbaya ni mchezaji mzuri sana lakini huku kwetu tu kuna General Moi...
Back
Top Bottom