Recent content by Hziyech22

  1. H

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mtu anaeconment akiumia utamjua tu 🤣
  2. H

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Ila ni ukweli sijui Lavia hapo kachukia kwasababu gani? anatakiwa aichukulie kama changamoto ya kumuhamasisha asiingie kwenye majeraha
  3. H

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kwasababu wanawachezaji wengi ambao hawakabi
  4. H

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Wakina nani hao wanatudharau
  5. H

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ipswich ni team ambayo ipo open sana halafu haina quality pale mbele wamekutana na team rafiki kwa uchezaji wao
  6. H

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hii inaitwa JP Morgan ( Joao Pedro, Palmer na Morgan Rogers) tutawapima mabeki wenu Wana uwezo wa kukimbia kiasi gani
  7. H

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hilo zoezi la kawaida kulingana na mpira wa EPL unahitaji iwe fit physically
  8. H

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Romario kwenye ubora wake hakuitwa team ya Taifa ingawa alikuwa na uwezo mkubwa kuliko wale walikuwa kwenye nafasi yake so hiyo ni Kawaida kama Madueke anaitwa kwenye team ya Taifa unashangaa Nini Joao Pedro kutoitwa
  9. H

    JamiiForums Tanzania Dudubaya ajue Bwanaake Yesu alikaa na Mashoga na watoza ushuru. Alikuja kwaajili ya Mashoga na wenye dhambi. Aache kujifaragua. Aache kuu-promoti

    Halafu nani kawadanganya kwenye Bible Kuna dhambi ndogo au kubwa kwamba shoga anakuwa tofauti na Malaya au fisadi
  10. H

    JamiiForums Tanzania Dudubaya ajue Bwanaake Yesu alikaa na Mashoga na watoza ushuru. Alikuja kwaajili ya Mashoga na wenye dhambi. Aache kujifaragua. Aache kuu-promoti

    Mkuu dhambi ni dhambi hakuna dhambi ndogo Wala kubwa kwa Mungu zinahesabika zote ni dhambi
  11. H

    JamiiForums Tanzania Dudubaya ajue Bwanaake Yesu alikaa na Mashoga na watoza ushuru. Alikuja kwaajili ya Mashoga na wenye dhambi. Aache kujifaragua. Aache kuu-promoti

    Shoga yupo kwenye group la wenye dhambi, mkuu dhambi ni dhambi bila kujali kubwa au ndogo kwa Mungu dhambi zote zinahesabika ni dhambi
  12. H

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Front three yetu inawasubiri sijui mtakuja na kisingizio gani
  13. H

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Muda utaongea ukweli
  14. H

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Una Mchezaji yoyote mwenye quality ya Joao Pedro
  15. H

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Caicedo ni kiungo mkabaji Bora duniani acha kumvunjia heshima
Back
Top Bottom