Msimu ule ulikuwa mbaya kwa karibia kwa kila player Palmer mwenyewe akarudi sio yule Palmer tunayemfahamu. Ni kweli baadhi ya mechi Pedro Neto alizingua lakini ni chache kulinganisha na mechi alizoperform vizuri kwa mchezaji huwa inatokea Kuna wakati upepo mbaya unakupitia
Huyu inabidi apelekwe kwa mkopo hasa kwenye team ya EPL aendelee kukua nafikiri Chelsea itabaki na Joao Pedro, Welbeck, Emanuel megher na Nicolas Jackson.
Kocha anachangia, Klopp alikuwa ni Kocha mwenye jicho la kuona kipaji alikuwa anasaidia kwenye kupendekeza mchezaji gani anamtaka na wachezaji wengi anaowapendeza huwa sio maarufu ndipo maana wanakuwa cheap ila yeye ndio anawafanya wawe maarufu mfano mtu kama Robertson, Anold nani alikuwa...
Sera ya Blueco ni kwamba tunasajili wachezaji kwaajili ya biashara ya kuuza na wengine kwaajili ya kikosi ndio unaona ni wengi Sasa niambie Yanga na Simba tangu lini wanaproject ya kuuza wachezaji???
Nimeona Kuna tetesi za Skelly kutaka kujiunga na Chelsea anaona atapata mechi chache za kucheza sasa nikajiuliza Kama hapo kwenu anataka assurance ya kupata muda mwingi huku kwetu Chelsea atapataje? sio kwamba ni mchezaji mbaya ni mchezaji mzuri sana lakini huku kwetu tu kuna General Moi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.