Recent content by Hziyech22

  1. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Happy Birthday Mahondaw ❤️

    Kumbe ninaweza kupata mke humu ehee
  2. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Happy Birthday Mahondaw ❤️

    Oya Balqior mahusiano huwa yana Siri sio show off tu mengine huwezi kujua labda mpaka uwe unaishi nao pamoja usifanye conclusion kwa kitu ambacho ukijui
  3. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Happy Birthday Mahondaw ❤️

    Birthday girl unadeka weye jibu tu mama, jibu lako moja nitafarijika sana
  4. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Happy Birthday Mahondaw ❤️

    Kwani mapenzi yenu yalianza humu jamiiforum au tofauti ili nawengine tuamasike
  5. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana Usithubutu kuzaa nje ya Ndoa! Tafadhari sana! Uliza wakongwe

    Mimi ndio huwa nipo makini sana ndio maana Sina mtoto mpaka nioe
  6. H

    JamiiForums Tanzania Sio kwa ubaya CCM tuache kuuzia wananchi matumaini huyu mtu hatoshi hata sisi tuliokua tunamtetea tunaonekana hamnazo

    Sasa hapo porojo iko wapi wakati nilikuwa live natazama hotuba yake
  7. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana Usithubutu kuzaa nje ya Ndoa! Tafadhari sana! Uliza wakongwe

    Mtoto ambaye umemzaa unaishi nae kwenye ndoa ni tofauti na ambaye upo nae mbali mamlaka juu yake unakuwa hauna upo kwa mzazi uliozaa nae na baba wa kambo wewe huoni utofauti hapo?
  8. H

    JamiiForums Tanzania Sio kwa ubaya CCM tuache kuuzia wananchi matumaini huyu mtu hatoshi hata sisi tuliokua tunamtetea tunaonekana hamnazo

    Lakini mkuu mbona tukio zima limerushwa live TBC na tumemsikia vizuri au unataka kutuambia TBC walimuedit akiwa live anazungumza
  9. H

    JamiiForums Tanzania Sio kwa ubaya CCM tuache kuuzia wananchi matumaini huyu mtu hatoshi hata sisi tuliokua tunamtetea tunaonekana hamnazo

    Wewe umemuelewaje tofauti na hao wengine
  10. H

    JamiiForums Tanzania Sio kwa ubaya CCM tuache kuuzia wananchi matumaini huyu mtu hatoshi hata sisi tuliokua tunamtetea tunaonekana hamnazo

    Mkuu video si zipo kwanini usiende kucheki mpaka Mimi nikuletee
  11. H

    JamiiForums Tanzania Sio kwa ubaya CCM tuache kuuzia wananchi matumaini huyu mtu hatoshi hata sisi tuliokua tunamtetea tunaonekana hamnazo

    Inamaana hotuba yake hujaiona pamoja nakuwa ni chawa wake Sasa wewe ni chawa wa aina gani?
  12. H

    JamiiForums Tanzania Sio kwa ubaya CCM tuache kuuzia wananchi matumaini huyu mtu hatoshi hata sisi tuliokua tunamtetea tunaonekana hamnazo

    Mbona Magufuli alikuwa haendeshwi?
  13. H

    JamiiForums Tanzania Sio kwa ubaya CCM tuache kuuzia wananchi matumaini huyu mtu hatoshi hata sisi tuliokua tunamtetea tunaonekana hamnazo

    Hapa Wala sio issue Elimu ni madaraka ya kulevya wewe si umeona Mwigulu Nchemba vituko anayofanya pamoja na Elimu yake ya uchumi
  14. H

    JamiiForums Tanzania Sio kwa ubaya CCM tuache kuuzia wananchi matumaini huyu mtu hatoshi hata sisi tuliokua tunamtetea tunaonekana hamnazo

    Kusoma na kuongoza watu Zaidi ya mil 60 sio kazi ya kitoto we si umeona Mwigulu pamoja na Elimu yake ya Uchumi vituko anavyofanya
Back
Top Bottom