Recent content by Hziyech22

  1. H

    Series (Special thread)

    Kumbe nawe umechoma mb pole sana series ya kijinga sana
  2. H

    Tangu Vanessa Mdee aache muziki, hakuna mwanamuziki wa kike yeyote aliyeziba pengo lake

    Sema wewe ndio humkubali lakini haimaanishi kuwa Hana kipaji
  3. H

    Tangu Vanessa Mdee aache muziki, hakuna mwanamuziki wa kike yeyote aliyeziba pengo lake

    Zuchu ni msanii mwenye kipaji kikubwa usikariri eti kwasababu yupo Wasafi Zuchu ana nyimbo nyingi ni hit song na zenye namba kubwa digital platforms Vee money mwenyewe alikuwa na connection hata kabla hajawa msanii wa kuimba kumbuka Hilo, kaanzia kuwa mtangazaji Kwanza huko ndiko katengeneza...
  4. H

    Series (Special thread)

    Kuna mtu alipendekeza humu tucheki series inaitwa scarpetta ukiangalia genre yake inashawishi kutazama maana ni thriller ila Sasa humo ndani ni ushubwana mtupu maneno ni mengi kuliko matukio na maneno mengi yamebase kwenye Mambo hayana maana yaani nimechoma mb zangu Bure kabisa
  5. H

    Tangu Vanessa Mdee aache muziki, hakuna mwanamuziki wa kike yeyote aliyeziba pengo lake

    Kwenye Nini? Mbona nyimbo za zuchu zinaenda viral kuliko za Nandy
  6. H

    Series (Special thread)

    Oya zote ni Kali sana nimezicheki nakuongezea cheki na hii "Siren kiss"
  7. H

    Series (Special thread)

    Nenda kwenye hii website Google utazikuta download "nkiri.ink.com"
  8. H

    Biashara ya kusimamia wasanii ni biashara kichaa usithubutu kuwekeza pesa zako huko

    Unasemaje msanii anatumika kukuza bidhaa ya mfanyabiashara wakati pia msanii ana percentage yake hapo au unafikiri ni kazi nyepesi kuwekeza kwenye biashara
  9. H

    Series (Special thread)

    Hata utanipa mrejesho
  10. H

    Series (Special thread)

    Ni series gani unatafuta?
  11. H

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Watu wakiolewa wanapotea sana jukwaani kwa baadhi ninaowafahamu ndio maana nikakuuliza hivyo
  12. H

    Series (Special thread)

    Series ya kizungu: Memory of a killer Jamaa ana ugonjwa wa kusahau alafu ana mtoto mmoja wa kike mkubwa na ameolewa, Familia yake haijui mishe ya ukweli ya Mzee na namna anvyojiweka huwezi kumjua ila nyuma ya pazia mishe yake ni muuaji wa kukodiwa na katili ile mbaya tofauti na personality...
  13. H

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Kingine ambacho kimenivutia kwenye hii series ukiachana na genre zingine ni romance genre ya humu ni ya kiwango na matured zaidi sio ya kitoto au ya u comedy kama zilivyo kdrama nyingi watu wapo serious hakuna Mambo ya sijui utotoni walikuwa wanapendana wakaja kuwa wakubwa wanakutana...
  14. H

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Kdrama 2026: SIREN'S KISS Hii ni moja kati ya series nzuri sana kuanzia story mpaka mpangilio wake kiasi ambacho inachukua attention na kukufanya uwe excited kuendelea kutazama iko hivi, Kuna mdada ambaye wanaume wote anaodate nao huwa wanakufa na kabla hawajafa The insurance beneficiary...
  15. H

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Ni kwa sababu ulikuwa kimya sana ndio maana nimekuuliza hivyo
Back
Top Bottom