Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 10,569
- 15,325
Aaah siundi picha mawifi umbeya woote umewaishaHiyo ya Kiingereza inaweza kuwa sababu ya kukonda 🤣🤣🤣
Aaah siundi picha mawifi umbeya woote umewaishaHiyo ya Kiingereza inaweza kuwa sababu ya kukonda 🤣🤣🤣
Raha ya wifi awe na hekahekaAaah siundi picha mawifi umbeya woote umewaisha
Jux ni kama kaolewaRaha ya wifi awe na hekaheka
Si mnatusena wanawake wa kibongo ombaomba 🤣🤣🤣 mkipata matajiri mnalia tenaJux ni kama kaolewa
Tatizo lugha gogana, huku swahili kule kingresa cha kinaijaaa. Hapo cha-chaRaha ya wifi awe na hekaheka
Kamaliza kumkomoa vanesa, sasa anajutaWanigeria sio watu wazuri wake wanapenda starehe alafu sherehe kila siku hadi najiulizaga oesa anatoa nani sijui mwamba inaonekana alimchukua yule binti ili amkomoe vanesa tu
Kumbe ni hybrid na Wanawake wa Kinyaki😄Kimapenzi wanawake wa Nigeria wanapenda kutawala na kutoa amri, yaani awe juu ya mwanamume, anauwezo wa kukwambia simtaki mama yako aje hapa na utafanya hivyo. Wabinafsi wanaojipenda sana wenyewe, tena ukimpata mwenye pesa ndio ujue umekwishaaaaa. Wanakabaaaa balaaa, hupati muda wa kuwa peke yako lazima ajue uko wap, na nani na unafanya nini. Simu yako ni yake!!!
Kakopa milioni 500 ili afanye hizo sherehe? Asipo angalia watapiga mnada mali alizoweka dhamanaMmmmh kuna mtu kasema alikopa CRDB milioni 500🙆🙆
Sema kuoa Nigeria au Kenya ni big mistake sana asee...hawa watu mi nawajua vizuri sana
Atajuutaa!
🤣🤣🤣 Nacheka uta fikiri mazuriInasikitisha kwa kweli...Ameyakanyaga....Na Mama yake Mkwe yupo kwenye NetFlix - The Real Housewives of Lagos.
Kuna aina fulani ya watu kuwa kama wamefeli katika maisha yao na kutaka kuishi ndoto zao kupitia ma celebrity.
Watu hawa wanatamani kuishibkama hao ma velebrity, ila hawawezi, kwa hiyo wanaishia kuwakosoa tu.
Wanajifanya kama wanawajua sana ma celebrity. Wakati hawawajui ki jivuo, na hao ma velebrity hata hawawajui hawa watu.
Wanaishi kwa uraibu wa kuwafuatilia sana ma celebrity. Ni uraibu kama wa madawa ya kulevya.
Hii ni aina fulani ya ugonjwa wa akili na projection fulani ya kuziweka failures za mtu ziende kuwa kwa celebrity.
Mtu aliye busy na maisha yake, ana kazi zake nyingi, ana biashara zake, ana mambo mengi ya kupanga kwenye kuboresha familia yake, anajielewa, anaelewa uhuru wa mtu binafsi hata wa celebrity kuwa na maisha yaje, anaanzaje kumfuatilia Jux kihivyo?
Muda huo anaupata wapi?
HakunagaHivi ni mtu gani mwingine maarufu aliyeoa nje hadi leo penzi liko imara?
🤣🤣🤣🤣🤣Vijana tukiwaambia KATAA NDOA muwe mnaelewa
Aisee. But Rotimi anaonekana gentleman. Amezaliwa New Jersey na wazazi wake wapo Marekani since early 90s huenda akawa tofauti na " Continental Nigerians "Tatizo anaishi kwenye kivuli cha Vanessa ,hakuweza kuishi maisha yake tena baada ya kuachana na Vee...ukiweka na maneno ya shombo ya wabongo kuhusu kukimbiwa, akaona na yeye atafute mnigeria...wale watu sio asee
Hata huyo Vanessa anaigiza tu humo na huyo mnigeria, ni kanateseka balaa🤣🤣🤣
Hakuna nilipomkataza mtu kufanya lolote. Nakuwekea observations zangu tu hapa na logic yake.Kaka.. Nature ya wanadamu ni kupenda kufuatilia maisha ya watu.. Ukijaribu ku I suppress hiyo utakosa raha duniani.. Huwezi kabisa kumzuia mwanadamu kufuatilia maisha ya watu wengine hasa watu maarufu.. Ndio maana enzi za magazeti na majarida, wamiliki walipiga ma milioni ya dola kwa kuandika habari za watu.
Unacho kisema kuhusu watu kutaka ku project failure zao kwa watu wengine ni kitu ambacho kweli kipo lakini kwa suala la.la Jux hapana ni watu tu wamekuwa concerned na mabadiliko ya muonekano wake.. Jux ni kipenzi cha watu..
Kingine ukiwa celebrity unaweza kuzuia vitu vyote lakini huwezi zuia kuzungumziwa na watu.. Jux na mkewe wanaweka maisha Yao public kwa sababu wanataka watu wayazungumzie..
Kama Jux angekuwa just " Any other person " kweli ungekuwa sahihi kwa kusema mambo yake binafsi yasifuatiliwe..
Hiyo Picha sio AI?Aliona pis za bongo hazimfai acha akomeshwe😂
HahahaKwahiyo mtu asifanye dayati jamani!!!
Biashara zake zenyewe ni kama zimedodaKakopa milioni 500 ili afanye hizo sherehe? Asipo angalia watapiga mnada mali alizoweka dhamana
HatariBiashara zake zenyewe ni kama zimedoda