Basically si kwamba naogopa kivuli cha mke wangu!! But I don feel free, for her to see some of my opinions in JF. I share most of the things with her. Lakini kwa hili, ninakuwa na restrictions kutoa some opinions. I mean, kila nitakachotaka kuandika nitakuwa najaribu kuassess implication yake...
Nimetumia user name nyingine, hata ukiangalia inaonesha bado ni Junior member, but mimi ni Nguli Hapa JF wa Kuanzia Mwaka 2008. Na nisingependa niachane na Hiyo status niliyofikia.
jamani, JF is a place where one dares to speak openly under the umbrella of anonymity, sasa mkeo akishajua, kuna chance ya mtu wa tatu kujua. Na wengine tunaweza poteza hata kazi kama ikitokea watu fulanifulani wakafahamu na kuona what we are " or have been" Posting. Na pia jamani to be sincere...
Nimekuwa nikilog in kwenye mtandao wa JF kwenye Laptop yangu na kuchagua keep me logged in. sasa nimegundua mke wangu nae huwa anaangaliaga JF, na ameshaifahamu user name ninayoitumia hapa JF. What should i do?. Naweza nikabadilisha Hilo Jina nikim uaomba Moderator?.
Asikuambie mtu kaka, niulize mimi yaliyonikuta. Lakini nashukuru Mungu mwisho nilifanikiwa!!, Inaitaji uvumilivu na hatimae kanguvu kidogo ni lazima katumike.
Tatizo hivi sasa hii nchi haina sheria, kila mmoja anafanya vile anavyotaka. Huu utamaduni wa watu kuchukua sheria mkononi ndio msingi wa mambo yote haya na mengine kama hayo.
Lakini pia ugumu wa maisha na misongo huwafanya watu wawe na chuki isiyokuwa na msingi kwa binadamu mwenzake, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.