Je ungekuwa aupo duniani angemlea Nani mpk utafute sbb ya yy mdg. Juwa maisha ni magumu na ww lzm unataka uponee hapo na yy kujigawa hawezi mpe mtt kwa masherti ya unataka kumuona mwanao akuachie km wkt wa likizo Hata km ni chekechea.
Sent from my VTR-L29 using JamiiForums mobile app
wanajisumbua uwezi nilazimisha kununua kitu nisichopenda tena ndio tususe kbs tuwaache waangalie wenyewe na madude yao mtu anaweka sumu alf anaonja km imekolea alf anampa mtu eti mtu anaathilika ye alieonja yuko powa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.