Recent content by Huusein

  1. Huusein

    Je, naweza kumshitaki mzazi mwenzangu?

    Je ungekuwa aupo duniani angemlea Nani mpk utafute sbb ya yy mdg. Juwa maisha ni magumu na ww lzm unataka uponee hapo na yy kujigawa hawezi mpe mtt kwa masherti ya unataka kumuona mwanao akuachie km wkt wa likizo Hata km ni chekechea. Sent from my VTR-L29 using JamiiForums mobile app
  2. Huusein

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Huku Dar natereza tu kwa voda na hakuna mtandao nilie ukubali km vodacom tz big up
  3. Huusein

    Magufuli avuruga mchoro wa Lowassa na CHADEMA!

    Mh aeleweki mtoa post Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Huusein

    Baadhi ya wahindi na hizi biashara

    Na walidhumiwa izo nyumba wkt wa utawala wa kwanza nyingi zisomeni juu utakuta majina yao na waliachwa wakae walipe kodi na ndio wako mpk leo
  5. Huusein

    Baadhi ya wahindi na hizi biashara

    Ubaguzi huooo unakuja kwa chuki zisizo na maana
  6. Huusein

    Je, wajua Tanzania inaongoza kwa nguvu za kijeshi Afrika Mashariki na kati?

    Sisi kwa kujisifu hatujambo mwenye nguvu hajisifu anasifiwa na wengine
  7. Huusein

    Utata na historia ya Salum bin Almasi aliyeuawa Kurasini akituhumiwa ni jambazi

    Uchunguzi uo anaufanya nani ukapata Jibu sahihi Si yuleyule alieuwa
  8. Huusein

    Bongo Movies kumshitaki DJ Mark (Anayetafsiri movies za nje)

    wanajisumbua uwezi nilazimisha kununua kitu nisichopenda tena ndio tususe kbs tuwaache waangalie wenyewe na madude yao mtu anaweka sumu alf anaonja km imekolea alf anampa mtu eti mtu anaathilika ye alieonja yuko powa
  9. Huusein

    Rais Magufuli kwa hili yuko sawa, ITV jirekebisheni

    Nyie mnaliona dogo ilo watu kuumizwa unataka tusijuwe kumbuka hayo ndio mambo ya kupewa kipaumbele
Back
Top Bottom