Recent content by HustlerD

  1. H

    JamiiForums Tanzania Kwako Ummy Mwalimu na Wizara ya Afya, Zindukeni, tunapoteza wataalamu na utaalamu

    Wakuu nawasalimu nyote, Kwanza nipende kuwapongeza Wizara ya Afya kwa namna wanavyoendelea kuboresha huduma za afya katika nchi hii, kwakweli wanajitahidi sana, hakika tumepiga hatua Sasa tunapozungumzia uboreshaji wa huduma za Afya ni sanjari na kuongeza wataalamu wa afya wa kutosha hasa kwa...
  2. H

    JamiiForums Tanzania Ratiba inaendelea: Waraka wa TEC unasomwa leo kwa mara ya tatu

    ila sisi wa misa ya kwanza saa 12 hatujasomewa, sijapenda
  3. H

    JamiiForums Tanzania Suala la kinamama kutembea usiku na watoto kwenye sehemu za starehe imekaaje?

    Jamani kwema Hivi hawa wamama wanaotembea na watoto wachanga(wadogo) kwenye sehemu za starehe usiku wanamaanisha nini, imagine sasa ni usiku labda saa tatu, unamuona mama kambeba mwanae(mwenye miezi kadhaa) yuko na mashoga zake wanaenjoy maisha, ni kwamba hakuikubali hali (ujauzito na mtoto) au...
  4. H

    JamiiForums Tanzania Hasara za NHIF kila Mwaka: Sababu nyingine ni baadhi ya watendaji kujimilikisha mfuko

    Si kosa wala si vibaya kuwapa mamlaka ya kiuongozi vijana ili kuandaa viongozi wa kesho wenye weledi katika taifa hili lakini vijana hawa wanaoaminiwa na taasisi wamekua chanzo cha kuitia hasara serikali na kurudisha nyuma mipango mizuri ya serikali yetu kwa tamaa ya maendeleo ya haraka, uzembe...
  5. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama kuoana kwa sasa ndiyo hivi, acha wengine wabaki kuwa single

    Huwezi kwenda sokoni kila embe unalogusa linabonyea halafu eti ujifanye kununua hivyo hivyo eti kwa kutegemea utaenda kulijaribia nyumbani, kamwe usithubutu, utakuta lingine limeoza kabisa na lina funza na hutolifanya chochote zaidi ya kulitupa na kujutia pesa yako. Hata kama ndiyo kuoa, yaani...
  6. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Raila Odinga mtu mbaya, Kafanya Ruto Achakae

    naona humjui Jaramogi Oginga Odinga(baba yake Raila), hao ni motto wa kuotea mbali, wanarithishana tu, ni familia sumbufu kenya toka Kenyatta Mzee usisahau pia ni Matajiri kupindukia, naomba nikuulize, ushawahi fika Kisumu..?
  7. H

    JamiiForums Tanzania Mlifanya nini baada ya mzazi kuwa anatumia pensheni yake vibaya?

    poleni, lakin mm ushauri wangu, hawa wazazi waacheni wawe huru na mali zao, unaweza mwambia kitu akahisi unamdharau akakutamkia mavitu ya ajabu ikageuka laana, kwakua anakula na kufanya yake , shauri kwa wastani lakini ujue unachomshauri ana uzoefu nacho au unataka akapigwe huko arudi kukulaumu
  8. H

    JamiiForums Tanzania Mlifanya nini baada ya mzazi kuwa anatumia pensheni yake vibaya?

    Kuna watu katika hii dunia hawataki mambo makubwa sana, mara sijui maguest houses, mahotel, sijui mamiradi makubwa Kama hakuwahi kufanya mambo hayo makubwa toka Mwanzo usitegemee afanye sasa hivi kwa kiinua mgongo, Nyota njema huonekana asubuhi, kama kawasomesheni wote vyema kabisa na kila mtu...
  9. H

    JamiiForums Tanzania Mlifanya nini baada ya mzazi kuwa anatumia pensheni yake vibaya?

    lakin kama unamjua hana mradi wala issue yoyote ya kumuingizia kipato, hapo naweza kukuelewa, maana utampoteza mapema
  10. H

    JamiiForums Tanzania Mlifanya nini baada ya mzazi kuwa anatumia pensheni yake vibaya?

    bila hii comment uzi huu ungekua batili, ukute mitoto imesomeshwa tena kwa mzee kujibana sana, leo hii kapata kiinua mgongo wanataka atumie wanavyotaka wao, wakati wengine aliwapeleka hata shule wakawa wanakataa Ndiyo shida ya familia tegemezi, kila ukipata wanataka mle wote hata kama wanauwezo...
  11. H

    JamiiForums Tanzania Namshauri Ummy Mwalimu Waziri wa Afya kutengua Kauli ya kuruhusu Clinic binafsi katika hospitali za umma

    Nawasalimu wote humu jukwaani Ama kweli miluzi mingi humpoteza mbwa, niende moja kwa moja kwenye hoja Mh waziri wa Afya baada ya kurudishwa kwenye wizara hii ya Afya na Mheshimiwa Rais alipoingia madarakani mwaka 2021, amekua ni mtu wa matamko hata ambayo si saizi yake, yanayomshushia hadhi...
  12. H

    JamiiForums Tanzania Huyo mwamba alishawahi kuwa mnunua karanga Kahama leo ni Ltn Col wa RDF

    Asijali, hata hapo kwa PK wako kibao, ni vile tu sisi ni waoga waoga tu kwa kila kitu, pale Simba Supermarket mbona wanakula bia daily, wagogo kibao wanaongea Kinywaranda pure na sura zilishaanza kufanana na kule Arovera kua na amani mkuu, nchi iko salama
  13. H

    JamiiForums Tanzania Nasikitika na Wasanii wetu

    Ni kweli Mwenyezi Mungu kaibariki nchi hii kwa kila kitu ambacho hata ukienda dunia ipi sidhani kama utakikuta (naongea kwa uzoefu wa kusafiri na kukaa nje) Imagine nchi ina Mbuga za wanyama kubwa (Serengeti, Ngorongoro n.k) Maziwa makubwa (Victoria, Tanganyika, Nyasa n.k) Madini ya kila aina...
  14. H

    JamiiForums Tanzania Ametufanyia sherehe na msiba ndani ya mwezi mmoja

    Ndugu zangu, Ama kweli hii dunia tunapita, binamu yangu wa kiume kapata mchumba, tukamsindikiza kuvalisha Pete na kutoa kishika uchumba, hiyo sherehe ndogo ikafaana kweli kweli, tukala na kunywa tani yetu, shemeji yetu alikua mjamzito pia, Wiki iliyopita amepaki gari pembezoni mwa barabara...
Back
Top Bottom