Eti wakuu naomba kuuliza sisi tulifanya interview ya afisa ushirika tarehe 28 mwezi wa tano walikuwa wanataka watu 27 ila oral wakaita watu 248 cha kushangaza jana wametoa mkeka wameandika walio fanya interview kuanzia mwez wa 9 mwaka 2024 hadi 21 mwezi wa tano mwaka 2025, na wameita watu...
Roho mbaya tu hizo kwani wakivuka huku utapungukiwa nini? Mbona waarabu wanashikilia bandari kuu ya Taifa na hujui hapo wanavusha nini, yani unamnyima mtu kutoka rwanda na burundi kuja kujitafutia? Hiyo ni chuki mbona wazanzibar wanashika utawala nchi nzima na hamuongei kijana acha unafiki...
kama kichwa cha habari kilivyo hapo juu natafuta rafiki wa kike ila sina maisha kabisa[emoji3] naishi Arusha Elimu ni ya uhasibu but it didn't work[emoji16]
daaah wakuu kuna mtu kanifuata inbox kaniambia ni HR wa kampuni mpya ya kutengeneza juice ipo chalinze akaniambia nimtumie vyeti nikamtumia, akaniambia kwenye vyeti vyangu kuna sehemu ambapo muhuri wa mwanasheria haionekani, hivyo ana mwanaaheria wake ataniconnect naye anipigie muhuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.