Kila nikiangalia tume ya warioba nakosa hata mtu wa kumtoa kasoro ilivyokuwa imesheheni watu wenye weledi na wakereketwa wa ccm, hebu tujiulize ni nani leo anaweza akasimama ndani ya ccm kujilingalisha na Warioba, Jaji Augustino ramadhana, Salim, Marehem Mvungi, Mwesiga baregu! tuseme wote hao...