Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,018
- 20,489
Enzi zangu nilikuwa nawakomesha wenye tabia hizo, baada yakuona nanyanyasika, niliamua kumfuata mshikaji wangu aliyekuwa na vyombo vya mziki vya kukodisha,
Nikamuomba viwe vinakaa kwangu,
Sasa limbukeni yule tuliyepanga nyumba moja akiwasha tu kiredio chake, mie namuwashia vyombo vyangu kwa mziki wa Bob Marley mpaka nyumba inatikisika!
Mbona aliamua yeye kwenda kwa mjumbe, mjumbe mwenyewe tayari nilishampa taarifa, hivyo akampuuza!
Mwisho aliama kuhama yeye!
Nikamuomba viwe vinakaa kwangu,
Sasa limbukeni yule tuliyepanga nyumba moja akiwasha tu kiredio chake, mie namuwashia vyombo vyangu kwa mziki wa Bob Marley mpaka nyumba inatikisika!
Mbona aliamua yeye kwenda kwa mjumbe, mjumbe mwenyewe tayari nilishampa taarifa, hivyo akampuuza!
Mwisho aliama kuhama yeye!