Recent content by Hurrem

  1. H

    Jipatie mafuta ya kuotesha na kukuza ndevu kutoka Singapore

    Ya kuondoa hamna? mana wa kwangu ana ndevu had anatafuta mtu wa kumgawia.
  2. H

    Ni vitu gani hivi?

    Choma moto
  3. H

    Dkt. Bashiru Ally Kakurwa nina hakika 100% anaweza kuvivaa viatu vya hayati Rais Magufuli

    Mwache mama afanye kwa utashi wake, afanye anachona kinafaa kwani Mh John alipangiwa si tumeona baadae so mwacheni mama jamn. #ilatatizomfumo
  4. H

    Jitibu U.T.I kwa mmea huu kwa matokeo yenye ufanisi zaidi

    Dawa chungu sana hii nishawahi kunywa nilitapika kabsa bibi alikua ananipa hvyio hvyio, hta ngiri kwa waaume inatibu.
  5. H

    Fursa ya biashara ndani ya visiwa vya Comoro

    Me naomba konnection au hata kushare msingi tufanye biashara .
  6. H

    Maji ya DAWASCO machafu

    Ukitaka uchote masafi jaza kwenye tanki halfu yaache yakipoa ndo kidgo hayaji na tope au huo udongo.
  7. H

    Kwanini wanaume JF wepesi sana kutuma hela?

    Wataje hapa me niende kuomba maana hta pesa ya kula sina aseeeh.
  8. H

    TEMEKE- Hali ya barabara ni mbaya sana

    Keko, mwembe yanga , bandari hali ni mbaya mnooo.
  9. H

    BASATA wapo wapi? Wasanii wa muziki siku hizi wanaimba matusi waziwazi, tena bila uoga

    "Chomoa aahh...."" chomeka aaah" Mwenzako nawashwa shwa.
  10. H

    Watanzania tumeamua kumshitakia Mungu

    Ngoma bado mbichi kma ni kupika ugali ndo kwanza tumewasha jiko....!!! Me naw kupiga pasi ndefu nishaanza kuzoea ila nijiandae kwa vidonda vya tumbo tuu.
Back
Top Bottom