Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,220
- 12,937
Niko hapa leo hii kutoa maoni yangu juu ya msiba mzito uliotupata Watanzania.
Binafsi nikiangalia chain ya Serikali ya Dkt. Magufuli, ni Bashiru Ally pekee ndiye mwenye uwezo wa kuvivaa viatu vyake na akasimamia kile ambacho Magufuli alikifanya.
Licha ya kuwa ngumu kwake kuwa Makamu wa Rais lakini Marehemu alimuacha kama katibu mkuu kiongozi, kwa nafasi aliyonayo naamini anaweza kufanya jambo na hatimae tukatoboa.
Kwako Dkt. Bashiru, mshauri Mama asicheke na Manyani tusije vuna mabua, Dkt. Bashiru msihi Mama kuwa hatutarajii kusikia hakuna fedha za ujenzi wa miradi yetu, Msihi mama kuwa hatutarajii kusikia shirika la Ndege likifa, msihi Mama hatutarajii kusikia kuna wizi na ujambazi kama miaka ile ya nyuma, hatutarijii makusanyo ya kodi kushuka zaidi ya kupanda, hatutarijii mradi wowote alioucha Mh Rais Magufuli kukwama.
Msihi Mama asicheke na Nyani, asiruhusi wamshikeshike maana hawana adabu wale watakuja kushika mpaka makalio (Ashakum si matusi).
Ni hayo tu Dkt. Bashiru naamini utayasimamia ipasavyo.
Binafsi nikiangalia chain ya Serikali ya Dkt. Magufuli, ni Bashiru Ally pekee ndiye mwenye uwezo wa kuvivaa viatu vyake na akasimamia kile ambacho Magufuli alikifanya.
Licha ya kuwa ngumu kwake kuwa Makamu wa Rais lakini Marehemu alimuacha kama katibu mkuu kiongozi, kwa nafasi aliyonayo naamini anaweza kufanya jambo na hatimae tukatoboa.
Kwako Dkt. Bashiru, mshauri Mama asicheke na Manyani tusije vuna mabua, Dkt. Bashiru msihi Mama kuwa hatutarajii kusikia hakuna fedha za ujenzi wa miradi yetu, Msihi mama kuwa hatutarajii kusikia shirika la Ndege likifa, msihi Mama hatutarajii kusikia kuna wizi na ujambazi kama miaka ile ya nyuma, hatutarijii makusanyo ya kodi kushuka zaidi ya kupanda, hatutarijii mradi wowote alioucha Mh Rais Magufuli kukwama.
Msihi Mama asicheke na Nyani, asiruhusi wamshikeshike maana hawana adabu wale watakuja kushika mpaka makalio (Ashakum si matusi).
Ni hayo tu Dkt. Bashiru naamini utayasimamia ipasavyo.