viongozi wa serikali ya ccm wasanii, isssue ya wachina ni kwa sababu wananchi walala hoi wamelalamika kule sokoni kariakoo, tatizo la wageni wanaongia isivyo halali ni kubwa sana kuliko mnavyodhani, hapa tuna makundi ya wahindi, waarabu, wakenya, wasomali, wazungu wa kutoka east europe nk. mbaya...