Huyo ChatGPT mwenyewe hajazoeleka bado na tayari ameshapata wapinzani wake kina Deepsek na wengine wengi. Je, huoni baada ya miaka 5 hadi 10 ijayo patakuwa na maarifa tofauti na bora zaidi ya hizi akili mnemba? Huu ni mwanzo tu, maarifa kamili ni kwa karne zijazo mtumishi wa Mungu.
Hello team,
Moja kwa moja kwenye mada.
Binafsi nimeshuhudia mikataba inayoandaliwa na wamiliki wa nyumba za kupanga wakiandaa mikataba ambayo ni mibaya, kandamizi na yenye kukomoa utadhani wamelazimishwa kupangisha vyumba.
Je, wizara inayohusika na makazi, kwa nini isiingilie kati suala la...
Kwa siku hizi kumi tu kwa Tundu Lissu, toka tume ya uchaguzi na jeshi la polisi kuingilia kampeni zake, imenibidi nisome maandiko haya matakatifu:
Yesu Aulizwa Kuhusu Mamlaka Yake
27 Wakafika tena Yerusalemu. Wakati Yesu alipokuwa akitem bea Hekaluni, makuhani wakuu, walimu wa sheria pamoja na...
Yani nimeupitia huu uzi mpaka najihisi kama nishaanza kulipwa, shukrani sana bro Nafaka kwa uzi mzuri. Ngoja nianze kupractice
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Lerang'wa primary(arusha),
2. Lyamungo secondary(kilimanjaro),
3. Arusha day secondary(arusha),
4. Bagamoyo high school(pwani).
Sent using Jamii Forums mobile app
http://ekhayasoftware.blogspot.com/2018/10/microsoft-office-2019-free-download.html
Jaribu hiyo hapo naona package zao zipo vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama umeme umekatwa baada ya kuchelewa kulipa, umeme utachukua muda gani ili uwashwe tena baada ya kufanya malipo(bill+penalt fee)?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.