Recent content by Humble__

  1. Humble__

    KERO Miundombinu ya Vyoo na majitaka Majengo ya UDOM kitivo cha Elimu (COED) ni hatarishi kwa wanafunzi

    Nimeona mdau mmoja kachangia kuhusu udom Binafsi nimefika pale hasa hayo majengo ya COED ambayo ndio wanaishi wanafunzi wa TIBA na EDUCATION watoto sio wanateseka na uchache wa sehemu za kulala pekee ambapo kuna vyumba watoto wanalala chini chumba kimoja watoto 10 vitandata vipo vinne Pia...
  2. Humble__

    Tanzania ina watu wengi magenius sana wenye IQ kubwa hususani vyuoni lakini serikali halijui jinsi ya kuwatumia

    Ukiwa na mbunifu, mwelevu na mdadisi unayehoji mambo kwa kufanya tafakari ya kila jambo kijamii na maisha binafsi Tanzania ni wrong country for you
  3. Humble__

    Nimeshindwa kujiamini katika maisha

    Acha kupiga punyeto hilo ndio solution Kingine kuteseka sifa kama mazingira bado yanaruhusu kuishi nyumbani 20 ni miaka michache sana Achana na pressure za mitandaoni probably anayekupa hizo tension za "toka kwenu" anaishi kwao
  4. Humble__

    MC Mtoto ila yanayomtoka si umri wake, imekaaje?

    Kwa hio walikulawiti?😒
  5. Humble__

    MC Mtoto ila yanayomtoka si umri wake, imekaaje?

    Huyu wasipomdukua server niko pale mniite mbwa na inawezekana tayari soda haina gas🚮👎
  6. Humble__

    Furaha ya kweli ni Wewe mwenyewe

    Kama furaha yako inategemea pesa the same thing ikiisha ni sawa na hao watu wakiondoka unabaki kwenye huzuni ile ile
  7. Humble__

    Mke wangu alinisamehe lakini ananipa tena masharti ya Kunyoa

    Kabisa wanajua sana kuplay victim na akishikilia kitu ur done
  8. Humble__

    Mke wangu alinisamehe lakini ananipa tena masharti ya Kunyoa

    Siku nyingine usuwahi mtania mwanamke utani unaolekea na ukweli utajuta Na hapo hajakusamehe siku ukiharibu tu anajua sababu ni yeye kutokuwa na nyama nyama nyingi😂😂
  9. Humble__

    Ogopa sana mwanamke mwenye tatoo, kipini na kikuku kwa pamoja

    Hehe we ulikalili kikuku tu au sio😂
Back
Top Bottom