begi la pesa
JF-Expert Member
- Apr 11, 2019
- 1,822
- 2,862
Maamuzi yako ndo matokeo yako ,we amua liwalo naliwe.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 19 mwishoni kuelekea 20, pamoja na kutokuwa na elimu mimi ni muoga wa maisha.
Kwanza, mpaka sasa naishi nyumbani kwa wazazi, maradhi na hata chakula pia nawategemea mpaka sasa. Kuna kipindi mwaka jana nilitaka kuondoka nyumbani kutokakana na kutopenda maisha ninayoyaishi(kutegemea wazazi) lakini kwa bahati mbaya nilizuiliwa na kuambiwa kama ni kazi nifanye nikiwa nyumbani. Nilkubali japo kishingo upande.
Pili, mimi ni mkimya, muoga, sijiamini na aibu ilishanivaa na kunimiliki. Sasa nimeomba ruhusa ya kuondoka kwa sababu bado nilishindwa kubadilika na kuendelea kuwa tegemezi. Maisha ya aina hii siyapendi nilitamani nirudi kusoma lakini uchumi haukuruhusu pia, nitamani kujitegemea mwenyewe kwa kila kitu na malengo baadae nirejee darasani kivyangu.
Nimeomba ruhusa na nimeruhusiwa kuondoka lakini bado sijiamini kwa kuwaza maisha yatakavyokuwa huko niendako na nimejiapiza lazima niondoke.
Kuna kipindi niliwaza labda mjani unaweza nisaidia kuchangamka lakini naona vitaniharibu.
Vyote tu madam , msiokunywa mna wivu sana🤣Myankunywa mbege.
Yeah 100%Pole Sana, njinsi unavyojiwazia ndiyo unavyokuwa.
Kijana mdogo km wewe unataka kwenda wapi?Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 19 mwishoni kuelekea 20, pamoja na kutokuwa na elimu mimi ni muoga wa maisha.
Kwanza, mpaka sasa naishi nyumbani kwa wazazi, maradhi na hata chakula pia nawategemea mpaka sasa. Kuna kipindi mwaka jana nilitaka kuondoka nyumbani kutokakana na kutopenda maisha ninayoyaishi(kutegemea wazazi) lakini kwa bahati mbaya nilizuiliwa na kuambiwa kama ni kazi nifanye nikiwa nyumbani. Nilkubali japo kishingo upande.
Pili, mimi ni mkimya, muoga, sijiamini na aibu ilishanivaa na kunimiliki. Sasa nimeomba ruhusa ya kuondoka kwa sababu bado nilishindwa kubadilika na kuendelea kuwa tegemezi. Maisha ya aina hii siyapendi nilitamani nirudi kusoma lakini uchumi haukuruhusu pia, nitamani kujitegemea mwenyewe kwa kila kitu na malengo baadae nirejee darasani kivyangu.
Nimeomba ruhusa na nimeruhusiwa kuondoka lakini bado sijiamini kwa kuwaza maisha yatakavyokuwa huko niendako na nimejiapiza lazima niondoke.
Kuna kipindi niliwaza labda mjani unaweza nisaidia kuchangamka lakini naona vitaniharibu.
Nachohitaji kikubwa kuchangamka niweze kuendesha maisha yangu mwenyewe. Ili nifanye malengo yangu katika umri sahihi, lakini kila nikiangalia maisha siyaelewi elewi hivyo naona jambo pekee ni kujitosa tu. Ila tatizo ni aibu,kushindwa kuzoea watu kunanifanya nisiamini kama nitaweza.Achana na wanaokushauri unywe pombe au majani hayo ndio yatakuvuruga kabisa.
Hiyo hali yako inatokana na kuishi na wazazi kwa muda mrefu huku wakiku protect na kukufanyia kila kitu. We unatakiwa utoke hapo nyumbani, uende mkoa mwingine hata kwa ndugu ukakae huko ukutane na maisha ya tofauti na hayo ya hapo home. Hii itakusaidia kukutana na changamoto mpya na watu wapya.
Mie na wivu wapi na wapi jamani🙄,Vyote tu madam , msiokunywa mna wivu sana🤣
Na mimi wapi nimesema umejiita Great Thinker humu bwasheeWap nimedai mimi ni great thinker humu bwashee?
Hakuna bwashee, hivyo tufanye ulikosea mangiNa mimi wapi nimesema umejiita Great Thinker humu bwashee
Jiamini kwenye kifoooMimi ni kijana mwenye umri wa miaka 19 mwishoni kuelekea 20, pamoja na kutokuwa na elimu mimi ni muoga wa maisha.
Kwanza, mpaka sasa naishi nyumbani kwa wazazi, maradhi na hata chakula pia nawategemea mpaka sasa. Kuna kipindi mwaka jana nilitaka kuondoka nyumbani kutokakana na kutopenda maisha ninayoyaishi(kutegemea wazazi) lakini kwa bahati mbaya nilizuiliwa na kuambiwa kama ni kazi nifanye nikiwa nyumbani. Nilkubali japo kishingo upande.
Pili, mimi ni mkimya, muoga, sijiamini na aibu ilishanivaa na kunimiliki. Sasa nimeomba ruhusa ya kuondoka kwa sababu bado nilishindwa kubadilika na kuendelea kuwa tegemezi. Maisha ya aina hii siyapendi nilitamani nirudi kusoma lakini uchumi haukuruhusu pia, nitamani kujitegemea mwenyewe kwa kila kitu na malengo baadae nirejee darasani kivyangu.
Nimeomba ruhusa na nimeruhusiwa kuondoka lakini bado sijiamini kwa kuwaza maisha yatakavyokuwa huko niendako na nimejiapiza lazima niondoke.
Kuna kipindi niliwaza labda mjani unaweza nisaidia kuchangamka lakini naona vitaniharibu.
Hahaha hahahahaa dah!Nimeishia hapo kwenye MARADHI
Hongera kijana kwa kujitambua!Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 19 mwishoni kuelekea 20, pamoja na kutokuwa na elimu mimi ni muoga wa maisha.
Kwanza, mpaka sasa naishi nyumbani kwa wazazi, maradhi na hata chakula pia nawategemea mpaka sasa. Kuna kipindi mwaka jana nilitaka kuondoka nyumbani kutokakana na kutopenda maisha ninayoyaishi(kutegemea wazazi) lakini kwa bahati mbaya nilizuiliwa na kuambiwa kama ni kazi nifanye nikiwa nyumbani. Nilkubali japo kishingo upande.
Pili, mimi ni mkimya, muoga, sijiamini na aibu ilishanivaa na kunimiliki. Sasa nimeomba ruhusa ya kuondoka kwa sababu bado nilishindwa kubadilika na kuendelea kuwa tegemezi. Maisha ya aina hii siyapendi nilitamani nirudi kusoma lakini uchumi haukuruhusu pia, nitamani kujitegemea mwenyewe kwa kila kitu na malengo baadae nirejee darasani kivyangu.
Nimeomba ruhusa na nimeruhusiwa kuondoka lakini bado sijiamini kwa kuwaza maisha yatakavyokuwa huko niendako na nimejiapiza lazima niondoke.
Kuna kipindi niliwaza labda mjani unaweza nisaidia kuchangamka lakini naona vitaniharibu.
Basi nisamehe, nimekosa mimiHakuna bwashee, hivyo tufanye ulikosea mangi
🤔
Acha kupiga punyeto hilo ndio solutionMimi ni kijana mwenye umri wa miaka 19 mwishoni kuelekea 20, pamoja na kutokuwa na elimu mimi ni muoga wa maisha.
Kwanza, mpaka sasa naishi nyumbani kwa wazazi, maradhi na hata chakula pia nawategemea mpaka sasa. Kuna kipindi mwaka jana nilitaka kuondoka nyumbani kutokakana na kutopenda maisha ninayoyaishi(kutegemea wazazi) lakini kwa bahati mbaya nilizuiliwa na kuambiwa kama ni kazi nifanye nikiwa nyumbani. Nilkubali japo kishingo upande.
Pili, mimi ni mkimya, muoga, sijiamini na aibu ilishanivaa na kunimiliki. Sasa nimeomba ruhusa ya kuondoka kwa sababu bado nilishindwa kubadilika na kuendelea kuwa tegemezi. Maisha ya aina hii siyapendi nilitamani nirudi kusoma lakini uchumi haukuruhusu pia, nitamani kujitegemea mwenyewe kwa kila kitu na malengo baadae nirejee darasani kivyangu.
Nimeomba ruhusa na nimeruhusiwa kuondoka lakini bado sijiamini kwa kuwaza maisha yatakavyokuwa huko niendako na nimejiapiza lazima niondoke.
Kuna kipindi niliwaza labda mjani unaweza nisaidia kuchangamka lakini naona vitaniharibu.