Ccm wanasema No election No reforms
hasara ni kubwa sana, sasahivi hakuna kutishana ukikata jina nahamia upande wapili kama walivyofanya akina ester bulaya, leo ukikatwa ka mpina umeenda jumlaCHADEMA ikifa CCM mnapata hasara gani!?
100%✓Wananchi wakikosa mbadala wa mawazo na maumivu yao na wasipokuwa na matumaini hata kidogo ya mabadiliko huwa jambo la hatari zaidi. Kuna siku Tanzania,Uganda na Rwanda itatokea tatizo kubwa sana kama mamlaka ya nchi hizo hazitajirekebisha katika kuweka sawa mizania ya kisiasa na kiutawala. Wananchi watachukua nchi yao kwa nguvu!
I have scessfully incited U, the IMBECILESsidhani kama waTanzania wanahitaji maajabu ya CHADEMA, hiki ni chama cha juzi tu, hakina maajabu ya kuumfanyia mtanzania jipya, wenye akili waliokuwa CHADEMA na vyama vingine vya upinzani wamehamia kwa GOLIATH na mchango wao tunauona kuliko wapokuwa huko CDM et al @ Prof Kitila Mkumbo, David KAFULILA, MTATIRO, MSIGWA, DC NASARI, Esther Matiko, Rev MSIGWA etc etc

Reform ipo CHADEMA wataendelea nayo hata baada ya uchaguzi na itasumbua sana wakati huo kuliko hata wakati huu.Habari JF, kwa sasa mivutano na teuzi za wawania Urais ,ubunge na udiwani ndani ya CCM ndio habari kuu mitaani kwa wote wana CCM na wana CHADEMA, maandalizi ya uchaguzi yanaendelea na tuna miezi miwili .
Tundu Lissu na CHADEMA wana kesi ambazo hazijulikani mwisho wake lini na ni nini hatma yake ,CCM na vyama vingine 18 hili hawajali wanaendelea na maandalizi ya uchaguzi October 2025 .
Ni ajabu wana CHADEMA sasa hivi na wao wana mtu wao katika wawania ubunge wa CCM wanataka apite awe mbunge au akatwe .
Binafsi naona hoja ya No reforms No election imechelewa sana tungeanza nayo miaka miwili Nyuma kipindi cha Mheshimiwa Mbowe kwa kuwekewa mkazo mkubwa,Elimu kwa raia , ikiwemo nguvu ya umma na sio kipindi ambacho CCM washaanza michakato ya uchaguzi.
Kwa sasa nini kifanyike ili kwa huu muda mchache REFORMS zifanyike na CHADEMA tushiriki uchaguzi October 2025 ?
No Reform No ERECTIONNO REFORMS, NO ELECTION!
Hii mbona inaeleweka vizuri tu?
itamsumbua nani? mtasumbuana wenyewe baada ya uchaguzi watu hawatakuwa na hiyo mood ya activismReform ipo CHADEMA wataendelea nayo hata baada ya uchaguzi na itasumbua sana wakati huo kuliko hata wakati huu.
Fact👍Habari JF, kwa sasa mivutano na teuzi za wawania Urais ,ubunge na udiwani ndani ya CCM ndio habari kuu mitaani kwa wote wana CCM na wana CHADEMA, maandalizi ya uchaguzi yanaendelea na tuna miezi miwili .
Tundu Lissu na CHADEMA wana kesi ambazo hazijulikani mwisho wake lini na ni nini hatma yake ,CCM na vyama vingine 18 hili hawajali wanaendelea na maandalizi ya uchaguzi October 2025 .
Ni ajabu wana CHADEMA sasa hivi na wao wana mtu wao katika wawania ubunge wa CCM wanataka apite awe mbunge au akatwe .
Binafsi naona hoja ya No reforms No election imechelewa sana tungeanza nayo miaka miwili Nyuma kipindi cha Mheshimiwa Mbowe kwa kuwekewa mkazo mkubwa,Elimu kwa raia , ikiwemo nguvu ya umma na sio kipindi ambacho CCM washaanza michakato ya uchaguzi.
Kwa sasa nini kifanyike ili kwa huu muda mchache REFORMS zifanyike na CHADEMA tushiriki uchaguzi October 2025 ?
Hili ni kosa kubwaCha ajabu hao wenyewe badala ya kukomaa na na NRNE ndio kwanza wako bize na uchaguzi wa ndani wa CCM
Kama UDP hivi 😌Vyama vingine ni vyama gani?
AiseeKama UDP hivi 😌