Recent content by Hotuba za Mnyonge

  1. Hotuba za Mnyonge

    SoC03 Hapa Kazi 2, App ya Kizalendo na Kimaadili maalum kujenga Uhuru wa Fikra kwa jamii

    Hayati John Pombe Magufuli alikuwa kiongozi wa kipekee ambaye alitumika na Mungu kuchochea mabadiliko makubwa katika fikra za Waafrika. Uongozi wake ulithibitisha kuwa muundo wa utawala wa ujamaa na kujitegemea unawezekana kwa kuanza na kujitegemea kifikra. Tanzania imepata bahati nyingine ya...
  2. Hotuba za Mnyonge

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    ONTARIO. Salute to you boss Please count me in n let me know of the logistics
  3. Hotuba za Mnyonge

    Udhaifu wa mipango ya shetani mbele ya Ukweli...

    Vizazi vijavyo watakuja kutoa jibu, muhimu sisi ni kuhifadhi amani yetu!
  4. Hotuba za Mnyonge

    Udhaifu wa mipango ya shetani mbele ya Ukweli...

    Suluhu itakayoafikiwa haitafuta historia ya maamuzi yaliyoamuliwa na tume inayoaminika kuwa ni huru ilhali maamuzi hayo nikama yamepokelewa kwa furaha na upande mmoja! Nani anawajibika na dosari zisemwazo? Tungependa kuona utumbuaji wa jipu hilo uliopelekea kutumika raslimali za taifa bure
  5. Hotuba za Mnyonge

    Udhaifu wa mipango ya shetani mbele ya Ukweli...

    Hoja ya kufutwa kwa matokeo ya uchaguzi wa visiwani ni udhaifu wa mipango ya shetani mbele ya ukweli ulio dhahiri. Shetani anapo panga mbinu zake za uongo zinazompa faida ya muda mfupi huwa anasahau baadhi ya point ambazo zinakua kama cheche ziwezazo kulipua moto wa ukweli mbeleni. Vizazi...
  6. Hotuba za Mnyonge

    TETESI: Walio nyuma ya Dr. Shein na Maalim Seif

    Hoja ya kufutwa kwa matokeo ya uchaguzi wa visiwani ni udhaifu wa mipango ya shetani mbele ya ukweli ulio dhahiri. Shetani anapo panga mbinu zake za uongo zinazompa faida ya muda mfupi huwa anasahau baadhi ya point ambazo zinakua kama cheche ziwezazo kulipua moto wa ukweli mbeleni. Vizazi...
  7. Hotuba za Mnyonge

    GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Haswa, ni historia ya jumla, nchi kwenda upinzani, chama kufa, tz kuvunjika au serikali Tatu.....
  8. Hotuba za Mnyonge

    Msaada tafadhali, LINK ZA VYUO VYA NJE VINAVYOTOA LECTURE MATERIALS KWA NJIA YA VIDEO

    Kwa bahati jana niliona post yenye link za materials kwa njia ya video, Ila leo nimetulia ilinizifuatilie sizioni tena. Tafadhali aliyeweka au anayejua zilipo anijulishe pls!
  9. Hotuba za Mnyonge

    Wasifu (CV) wa Freeman Mbowe huu hapa...

    MuHAndishi ukipata wasaHA mwingine tafadhali utumie vizuri kwa kula au kulala ukue, kuliko kujitaHAbisha kuandika 'makala' ya upuuzi, umbea, majungu na mipasho isiyo na maana!
  10. Hotuba za Mnyonge

    Tanzania ninayoitaka chini ya raisi dikteta

    Tanzania NInayotaka inahitaji dikteta mzalendo ili Ifike huko. Dikteta atakayeweza kufutilia mbali vyama vya siasa na chaguzi za kinafiki za kila baada ya miaka mitano. Atakayeweza kuondoa mzigo wa utitiri wa viongozi wasio hitajika wanao jineemesha na kodi za walalahoi. Atakaye onea uchungu...
  11. Hotuba za Mnyonge

    Habari ya Kusisimua Niliyoisikia kuhusu kinachoitwa chama cha ACT-Tanzania!.

    Habari hii ilimsisimua yeye na nafikiri ni mwathirika wa viroba ndo maana ikamgusa!
  12. Hotuba za Mnyonge

    Wanawake wachaniwa nguo Mwanza

    Pita tena uone cha mtema kuni!
Back
Top Bottom