Udhaifu wa mipango ya shetani mbele ya Ukweli...

Udhaifu wa mipango ya shetani mbele ya Ukweli...

Joined
Jan 5, 2014
Posts
23
Reaction score
8
Hoja ya kufutwa kwa matokeo ya uchaguzi wa visiwani ni udhaifu wa mipango ya shetani mbele ya ukweli ulio dhahiri.

Shetani anapo panga mbinu zake za uongo zinazompa faida ya muda mfupi huwa anasahau baadhi ya point ambazo zinakua kama cheche ziwezazo kulipua moto wa ukweli mbeleni.

Vizazi vijavyo vitahoji bila woga: iweje uchaguzi mmoja uwe na matokeo yafaayo na matokeo yasiyofaa?

Agenda ilikua nini? (HII NI AIBU INAYOKUWA NA KUONGEZEKA KADRI MUDA UNAVYOENDA).

Mungu wa Amani, tunaomba uvinusuru visiwa vyetu, uibariki nchi yetu, amina!
 
Last edited by a moderator:
Na ndio maana suluhu imekua ngumu.
Suluhu itakayoafikiwa haitafuta historia ya maamuzi yaliyoamuliwa na tume inayoaminika kuwa ni huru ilhali maamuzi hayo nikama yamepokelewa kwa furaha na upande mmoja! Nani anawajibika na dosari zisemwazo? Tungependa kuona utumbuaji wa jipu hilo uliopelekea kutumika raslimali za taifa bure
 
Hoja ya kufutwa kwa matokeo ya uchaguzi wa visiwani ni udhaifu wa mipango ya shetani mbele ya ukweli ulio dhahiri.

Shetani anapo panga mbinu zake za uongo zinazompa faida ya muda mfupi huwa anasahau baadhi ya point ambazo zinakua kama cheche ziwezazo kulipua moto wa ukweli mbeleni.

Vizazi vijavyo vitahoji bila woga: iweje uchaguzi mmoja uwe na matokeo yafaayo na matokeo yasiyofaa?

Agenda ilikua nini? (HII NI AIBU INAYOKUWA NA KUONGEZEKA KADRI MUDA UNAVYOENDA).

Mungu wa Amani, tunaomba uvinusuru visiwa vyetu, uibariki nchi yetu, amina!
Mbona huo ukweli hujausema na huo huongo nao hujausema?
 
Mbona huo ukweli hujausema na huongo nao hujausema?

Ukweli ni kwamba hakuna aliyeripoti kuvurugika kwa uchaguzi kwenye kituo cha kupigia kura, tume haikukaa kujadili hatua gani stahiki zichukuliwe kabla ya mwenyekiti kwa maamuzi yake kufuta uchaguzi.
Kama kuna dosari zilijitokeza, hazikua na uzito wa kufuta uchaguzi wote, ungerudiwa kwenye kituo/eneo husika.
Kura za CUF zilionekana kuwa nyingi kuliko za CCM wakati zoezi la kuhesabu likiendelea.

Uongo ni kwamba uchaguzi wa Zanzibar umefutwa na tume yenye mamlaka kikatiba kuwa msimamizi wa uchaguzi.
 
Hoja ya kufutwa kwa matokeo ya uchaguzi wa visiwani ni udhaifu wa mipango ya shetani mbele ya ukweli ulio dhahiri.

Shetani anapo panga mbinu zake za uongo zinazompa faida ya muda mfupi huwa anasahau baadhi ya point ambazo zinakua kama cheche ziwezazo kulipua moto wa ukweli mbeleni.

Vizazi vijavyo vitahoji bila woga: iweje uchaguzi mmoja uwe na matokeo yafaayo na matokeo yasiyofaa?

Agenda ilikua nini? (HII NI AIBU INAYOKUWA NA KUONGEZEKA KADRI MUDA UNAVYOENDA).

Mungu wa Amani, tunaomba uvinusuru visiwa vyetu, uibariki nchi yetu, amina!


umenena mkuu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom