Recent content by hottest00

  1. hottest00

    Tangazo La Tigo Jazwa Ujazwe Lina Ukakasi

    nahisi wazo la joti ilo
  2. hottest00

    Niliitwa mshirikina/mchawi kisa kuwarushia mchele ndege

    wapuuze hao waswahili we endelea kuwalisha ndege ila tu usiwakwaze wenye viduka vyao kwa kuchota Mchele bure
  3. hottest00

    Je, unawafahamu hawa kwa sura?

    Mshana Jnr umenifurahisha apo kwenye Utatu Mtakatifu kwani ndo mwongozo wa maisha yetu ya kila siku
  4. hottest00

    Nani anamkumbuka msanii Ali Kiba?, Kwa sasa yupo wapi?

    Nguvu za Soda noma sanaa!!!!! hana kipya cha kubuni
  5. hottest00

    Diamond kamuomba Gwajima yaishe

    Hiki kitendo cha Diamond kutokuwa mzito kwenye kujishusha ndo kimemfanya kufika hapo alipo na nina uhakika kwenye safari yake ya kutegemea sapoti ya watu atafika mbali!!!!!
  6. hottest00

    Jinsi tunavyoibiwa petrol station

    na ukikuta sheli yenye petrol iliyochakachuliwa pamoja na kidumu chako kujaa vizuri lazima gauge ishuke mda mfupi baada ya kutumia, wenye kujua mafuta mazuri pia mtuelekeze pa kuyapata
  7. hottest00

    Asanteni Maafisa bandari, siku nyingine mkitengeneza sinema mkumbuke kubandua plate number

    NYIE WAUZA UNGA !! wengine tushawachoka sasa, imekuwa kero kulazimisha kila siku Serikali ionekane haifai, Misamo yote mmeshaiona hakuna namna ya kurahisisha izo Biashara zenu!!!! Thats all, Fanyeni biashara halali ili mwendane na Awamu hii
  8. hottest00

    Umewahi kuwa na mpenzi mwenye kisimati au nuksi?

    msiwaache wapenzi wenu jamani, Hali tuu siku izi imebadilika, ni mwendo wa kukomaa na maisha!!!
  9. hottest00

    Wiki hii Gwajima naona kafunikwa

    Cha msingi nyie waendaji kwa uyo Mtumishi kusikiliza majungu badala ya Neno nawapeni Pole na Mungu awape Neema ya kupata kanisa lenye Mtumishi wa Kiroho atakaewalisha Neno la Uzima. ( Nimeita Majungu sababu yanayoongelewa hayana Mantiki Kiuhalisia zaidi ya mapovu tu kwa watu wanaolazimisha kuwa...
  10. hottest00

    Je, inawezekana Mungu ndiye amemua kumuumbua Gwajima au hakumpanga vizuri yule mama??

    Taswira inaonyesha wengi wao wanaoshikilia swala la vyeti mzunguko wao wa kipato ulikuwa kati ya mambo yote yalopigwa stop na uyu mheshimiwa. Tafuteni pesa kwa njia halali jamani Mungu akiamua kukuinua ata kupitia shughuli izo izo ndogo utainuka tu
  11. hottest00

    Natamani kuishi bachela

    ilo ndo tatizo la kujilazimisha kuishi na mtu sababu ya mtoto au ujauzito, mbele ya Safari ni lazima uchemke sababu utashindwa kuvumilia mapungufu ya apa na pale, kama unahisi kutamani kuwa mwenyewe ni bora ukaamua mapema ukiwa tayari ushaandaa mazingira ya matunzo kwa mama na mtoto
  12. hottest00

    Kipeperushi changu cha dawa za kulevya kimfikie Rais Magufuli

    Dr wanse, umemaliza kila kitu apo mkuu, intelijensia ya hali ya juu inahitajika na si masihara kwenye hii kazi
  13. hottest00

    Ushauri: Aliniambia analeta mahari nyumbani lakini kabadilika

    pole Sana, kwanza futa namba zake ili usimpate popote na usitake kujua habari zake popote pale iwe kwa hao marafiki zake, au kwenye mitandao jitahidi kumpotezea kabisa, angalia kitu gani unapendelea alafu fanya kwa kujiburudisha na kujenga mawazo mapya akilini. Kuhusu vitu vyako my dia kama...
Back
Top Bottom