Tz hakuna kifungo cha mtu mwenye akili na uwezo wa kuiba kias kikubwa bila kujuilikana bali kuna kifungo cha yule mjinga mwenye njaa anaeiba kuku ama ndizi kule shambani. Watu kama hao ni dili na ndio maana anafichwa ili afanye kaz na wakubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.