Wanawake c wajinga wanafanyaga research zao wakishapata evidence wanalianzisha ukilogwa kubisha tu anakuumbua sasa kama ulishakengeukaga siku moja omba tu msamah
Regardless ur dini watafute wachungaji waiombee familia yako na wew uombe kufunuliwa kwa familia yako familia zetu zina matatizo Sana but kwa mungu hakuna linaloshindikana
NB kamwe usiende kwa mganga they won't help u
Duuu kwamaana kwamba wew ukienda na driving licence yako na gari ya mtu yoyote unaingizwa kwenye system? No supportive documents za owner wa gari
Uber tupeni full info zinatakazosaidia na wengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.