Recent content by hopeglory

  1. H

    OFFER YA SAA NZURI -Maonesho ya syria Diamond Jublee

    Perfume na bodydpray zao ni quality kama una free time na hela kwakweli pitieni
  2. H

    Maombi yatawala nyumbani kwa Lulu

    Kweli mungu amsaidie asifungwe hakika anapitia kipindi kigumu
  3. H

    Baada ya kuachana na mnyonyaji Said Fella, Aslay asukuma ndinga la maana

    Ivi fella aliwakabidhi zile nyumba alisemaga kawajengea au team fisi kawapigisha watoto watu show mpaka ulaya
  4. H

    MKASA: Kipofu wa miaka kumi amkataa mkewe akidai amezeeka sana

    Alafu wanasema wanawake hawaeleweki lol
  5. H

    Asante sana kunguru, kisicho rizki hakiliki

    Hahahaha vyuma vimekaza hadi kwa kunguru
  6. H

    Mkuu wa Mkoa wa Dar, naomba uniombe radhi mimi binafsi, sijajua wenzangu

    Ivi mbona sioni mabadiliko yoyote dar
  7. H

    Nauza simu elfu 50

    Ungeanzia 60
  8. H

    Kaniambia 'kuanzia leo usinitafute na hii mimba najua cha kuifanya', nifanyeje hapa?

    Wanawake c wajinga wanafanyaga research zao wakishapata evidence wanalianzisha ukilogwa kubisha tu anakuumbua sasa kama ulishakengeukaga siku moja omba tu msamah
  9. H

    Kwa nini Wanaume hupatwa na usingizi mzito

    Safari ndefu
  10. H

    Ushauri; Mkasa mfupi kuhusu familia yangu

    Regardless ur dini watafute wachungaji waiombee familia yako na wew uombe kufunuliwa kwa familia yako familia zetu zina matatizo Sana but kwa mungu hakuna linaloshindikana NB kamwe usiende kwa mganga they won't help u
  11. H

    Ukiona dalili hizi Jua unakaribia kuachwa

    Izo ni assumption tu unaweza ukaachwa ukiwa juu ya kifua chake hayanaga formula
  12. H

    Maelezo ya kina kuhusu Uber. Usafiri salama na wa bei ya chini kwa mtanzania

    Duuu kwamaana kwamba wew ukienda na driving licence yako na gari ya mtu yoyote unaingizwa kwenye system? No supportive documents za owner wa gari Uber tupeni full info zinatakazosaidia na wengine
Back
Top Bottom