Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,380
Mmmh!Mungu aniepushe,ila mi napenda kuambiwa moja kwa moja kua hanitaki ili nianze kupambana na hisia zanguanhaa hapo sawa...wewe hii ishu ikikutokea unafanyaje
Kiasi chake...Haya...i ddnt knw ur rude
![]()
Kiasi chake...
Unapenda kuambiwa Moja kwa moja kuwa "Joanah sikutaki, tuachane..nimekuchoka hunifai" hivi unajua uchungu na maumivu ya hilo neno? na mbaya zaidi ulikuwa unampenda na ulikuwa una mpango nae labda hivi...Mmmh!Mungu aniepushe,ila mi napenda kuambiwa moja kwa moja kua hanitaki ili nianze kupambana na hisia zangu
Sipendi dalili alafu sijui siku ikitokea nikaanza kuziona sijui nitafanyaje asee
Yeah!ni heri moja kwa moja kama hivyo...sipendi drama aseeUnapenda kuambiwa Moja kwa moja kuwa "Joanah sikutaki, tuachane..nimekuchoka hunifai" hivi unajua uchungu na maumivu ya hilo neno? na mbaya zaidi ulikuwa unampenda na ulikuwa una mpango nae labda hivi...
Siku ukiziona dalili si inabidi uandae mazingira sehemu au utasikilizia?
hata kama mlikuwa mmepanga nae vitu vya msingi vya maisha??? Mali mlizochuma pamoja jeYeah!ni heri moja kwa moja kama hivyo...sipendi drama asee
Siku nikianza kuona dalili namuacha
hata kama mlikuwa mmepanga nae vitu vya msingi vya maisha??? Mali mlizochuma pamoja je

Single lakini mechi za ndondo cup kawaida au ndio umekaa utawaniNiliwahi kuachwa mara moja zamanii
sijarudia tena
maisha ya usingle mazuri sana.
hizi stress za kuachwa hata sizikumbuki
anhaaa kumbe bado sana...Duh!yani nipo mbali sana na ulichoandika hapo juu...yani mimi bado bado bado sanaaaaa
Ndo kwanzaa nina....
Eee mi bado kwa kwelianhaaa kumbe bado sana...
una......?
ila ujipange kwa kuwa haya mambo yanatokea, nadhani unayajuaEee mi bado kwa kweli
Kwa kweli..nitajitahidiila ujipange kwa kuwa haya mambo yanatokea, nadhani unayajua