KAYAMASKINI
Member
- Oct 29, 2016
- 50
- 21
PoaNyumba na gari vyote Ni liabilities tu.
Labda useme ipi ndio liability yenye nafuu.
PoaNyumba na gari vyote Ni liabilities tu.
Labda useme ipi ndio liability yenye nafuu.
Umekuja na ndala umeondoka na gari,aliyelala sebuleni kwangu Leo anasema anadhulumiwa 2008 eheee 2009.
Na pia ni kaburi linalotembeabora gari mkuu..Gari ni nyumba inayotembea..
acha bas....nyumba ni liability ???? lolNyumba na gari vyote Ni liabilities tu.
Labda useme ipi ndio liability yenye nafuu.
hata nyumba ni kaburi lililo simama mzeeNa pia ni kaburi linalotembea
hana hela ya mafuta acha uongo!!Ali kiba anayo X6 sema tuu hapendii show off
At least nyumba unaweza ukaiita asset cause hata baada ya miaka thamani itapanda tuGari na nyumba vyote ni asset hamna liability hata moja hapo
Nyumba liability boss. .acha bas....nyumba ni liability ???? lol
Fela aliwajengea nyumba na akawakabidhi. Sasa kati ya aliyewajengea nyumba na aliyemnunulia gari ni nani mwenye msaada? Kati ya nyumba na gari ipi ni asset na ipi ni liability?
Alimuokota?.. Halafu akamtumia kama kitu cha kuokota kwa faida yake na si ya kilichookotwa..... Ila kabla ya kuingia kwa mkubwa Fella nadhani dogo alikuwa na single yake tayari.Fella ndo aliyemuokota.
Kilemba cha ukoka..Anawajengea nyumbani na hati anazo mwenyewe...mkuu huyo kawajengea au kawapangisha
kabisa yani.Safi sana Jomba.Kuoa ni upuuzi flani hivi..mimi si support kabisaIf you can get free milk,why should you keep a cow?
tangu liniNyumba liability boss. .
Kweli kabisa uyo chambuso ni kama ana muwakilisha fella tu, tatizo la ya moto kulikuwa na kupe wengi ambao nao wanalikuwa wanakula nao, sasa hadì Temba nae alikuwa anasema yupò kwenye Management yaoChambuso na mkubwa fella ni kama pete na kidole na Nina huhakika fella ana pasenti yake pale kwa asley.
Kweli. Na kwenye gari unaweza kulalabora gari mkuu..Gari ni nyumba inayotembea..
Yaani,kwa mtu anayejua upuuzi huu hawezi kuusifia.Pata unachohitaji kwa mwanamke halafu achana naye ,unaoa ili upate nini?
Aliachana na yule mama mtoto wake ila sasa wamerudianaHONGERA ASLAY. UOE SASA UPUNGUZE CHUPI vingnevyo UTAKUWA MTU WA KULAUMU LATER
Hata ukitaka 0713 unapata.alafu raha ya kutokuoa unapata ukitakacho...ukitaka black and fat unapata..ukitaka ebony unapata.ukitaka slander
ukitaka mtoto unapata