Recent content by honor

  1. honor

    Vijana msidanganyike!! CHADEMA haiwezi kuongoza nchi

    CCM wangekua wanateua viongozi walio na maadili tungeendelea kuipenda, lakn tatizo wanateua viongoz wabovu wa upeo na akili. Basi bora tujaribu pengine lakn sio ccm.
  2. honor

    Happy birthdei to me.

    H.B.D to yuuu
  3. honor

    Zitto: Toka Uhuru rais hajawahi kuteua Kaimu Jaji Mkuu, rais Magufuli amemteua ili awe anamtisha

    hakutarajia km sikumoja atakua rais ndomana amemwehuka na madaraka. Anajiona ndo tayali kafika. Kumbe bado yupo safirin, apo atapapita na atapaacha ila tu atakua tayali kasha paharibu, kaz kwa atakaekuja kubadili apo.
  4. honor

    Brother Nape, kauli zako zimenihuzunisha sana

    [emoji3][emoji3][emoji3][emoji119]
  5. honor

    Brother Nape, kauli zako zimenihuzunisha sana

    Mwl Nyerere hakuwahi kushi kwa Tanzania kama tunayoishi sasa. Mwl Nyerere aliishi Tanzania yenye aman. Ata akifufuka leo hii lazm aishangae jinsi ilivyo chakaa! Kwahiyo usiwafananishe viongoz wa zaman na sasa.
  6. honor

    Tuache maigizo Magazetini, utakamata vipi makontena ambayo yametunzwa hapo kihalali?

    Ukiacha mlango wazi lazima uibiwe. Na ukiibiwa usilalamike
  7. honor

    Natamani sana zali la Nape lingenitokea mimi

    [emoji3]ama umetishaa! Kama nakuona vile unavyo pigana.
  8. honor

    Muheshimiwa Rais watanzania hatujaridhika na maamuzi kwa Mkuu wa mkoa

    Naona kunamambo mazito wanayoyafanya kat ya makonda na rais ndomana hana jinsi yamenfika hapa![emoji108]
  9. honor

    Tukubaliane, sio kila anachosema huyu "Binti wa Insta" ni ukweli, hata hili la Kinana anapotosha

    napita sana insta kimtembelea huyo binti unaemuongelea lakn cjawahi kuona post yake ya uongo. Na kuhusu matusi nisawa sawa baba ukiwa mburula mtoto anakua mburula zaidi. Ko apo sion tatizo. Matusi yake yanaendana na serikari ya sasa.
  10. honor

    Mbowe: Rais Magufuli ndiye rais wa pekee Tanzania atakaekaa madarakani kwa kipindi kimoja

    Huyo ni rais kupe hatang'atuka madalakan mpaka kifo
  11. honor

    Morogoro: Msanii Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego', akamatwa na Polisi

    Apae Mbinguni basi kama yeye nisawa na Yesu. Rais gan hana utu.!
  12. honor

    Leo jumapili tusisahau kumwombea makanisani Magufuli tafadhali

    vp familia yako imekamilika haina matatizo mpaka umehamia kumuombea magufuli?
  13. honor

    Basata mnasubiri nini kumchukulia hatua Ney wa mitego

    Yan mimi ndomana nawashangaa viongozi wa Tanzania. Hawataki kuambiwa ukweli. Wanataka tuwe wanafiki kuwasifiwa ata pale walipo kosea.
Back
Top Bottom