Vijana msidanganyike!! CHADEMA haiwezi kuongoza nchi

Vijana msidanganyike!! CHADEMA haiwezi kuongoza nchi

CCM wangekua wanateua viongozi walio na maadili tungeendelea kuipenda, lakn tatizo wanateua viongoz wabovu wa upeo na akili. Basi bora tujaribu pengine lakn sio ccm.
 
sijaleta udini hapa nyie vingwasa!! jikiteni ktk mada mambo ya bakwata hapa si mahala pake
 
salaam kwenu wana jf!!
sitaki kuongea meeeengi ila nawaambia tu kuwa chadema haiweza kuongoza nchi wala raisi hawezi tokea chadema hilo hata mh lowasa analijua........"There is big difference btn vetting and voting" Then msitegemee mh makonda kuondolewa kama mnavyotaka nyinyi!! Nyinyi hamumjui makonda ila mh raisi anamjua zaidi kuliko hata mnavyomjua nyinyi!!
Tanzania oyeee
Magufuli oyeee
Makonda oyeee!!
Kwa awamu hii kweli ccm wanaongoza Nchi
Haya machadema jinsi yanavyotetea mafisadi na wauza madawa ya kulevya ndio yanaharibu kabisa
Kila mmoja huko ccm anatumia dozie? Maana vichwa vyenu vipo sawa hakuna wakumsaidia mwingine.
 
salaam kwenu wana jf!!
sitaki kuongea meeeengi ila nawaambia tu kuwa chadema haiweza kuongoza nchi wala raisi hawezi tokea chadema hilo hata mh lowasa analijua........"There is big difference btn vetting and voting" Then msitegemee mh makonda kuondolewa kama mnavyotaka nyinyi!! Nyinyi hamumjui makonda ila mh raisi anamjua zaidi kuliko hata mnavyomjua nyinyi!!
Tanzania oyeee
Magufuli oyeee
Makonda oyeee!!
Naona akapime Sugu kwanza
 
  • Thanks
Reactions: BAK

Huu ndiyo ukweli halisi hata pole pole pamoja na unafiki wake hawezi kuukimbia.

Kwa awamu hii kweli ccm wanaongoza Nchi

Kila mmoja huko ccm anatumia dozie? Maana vichwa vyenu vipo sawa hakuna wakumsaidia mwingine.
 
salaam kwenu wana jf!!
sitaki kuongea meeeengi ila nawaambia tu kuwa chadema haiweza kuongoza nchi wala raisi hawezi tokea chadema hilo hata mh lowasa analijua........"There is big difference btn vetting and voting" Then msitegemee mh makonda kuondolewa kama mnavyotaka nyinyi!! Nyinyi hamumjui makonda ila mh raisi anamjua zaidi kuliko hata mnavyomjua nyinyi!!
Tanzania oyeee
Magufuli oyeee
Makonda oyeee!!
Nchi inaongozwa na watu. Chama ni njia tu..yeyote anaweza
 
Be careful, watch it. Kama unadhani chadema hatuwezi kuongoza nchi, not to that extent
 
Kwani CCM pamoja Na kuongoza miaka 200 kuna nini ? Shida tu watu wanaishi kwenye Nyumba za tembe mnaambiwa Na viongozi eti mnadumisha mila CCM oyee
 
salaam kwenu wana jf!!
sitaki kuongea meeeengi ila nawaambia tu kuwa chadema haiweza kuongoza nchi wala raisi hawezi tokea chadema hilo hata mh lowasa analijua........"There is big difference btn vetting and voting" Then msitegemee mh makonda kuondolewa kama mnavyotaka nyinyi!! Nyinyi hamumjui makonda ila mh raisi anamjua zaidi kuliko hata mnavyomjua nyinyi!!
Tanzania oyeee
Magufuli oyeee
Makonda oyeee!!
Naon we unatak zito la kwend kulalia.. bweg ww mfyuuuu
 
salaam kwenu wana jf!!
sitaki kuongea meeeengi ila nawaambia tu kuwa chadema haiweza kuongoza nchi wala raisi hawezi tokea chadema hilo hata mh lowasa analijua........"There is big difference btn vetting and voting" Then msitegemee mh makonda kuondolewa kama mnavyotaka nyinyi!! Nyinyi hamumjui makonda ila mh raisi anamjua zaidi kuliko hata mnavyomjua nyinyi!!
Tanzania oyeee
Magufuli oyeee
Makonda oyeee!!
Ujinga umekujaa mpaka umepitiliza hii inchi inastahili kuongozwa na mtanzania mweny sifa ya kuwa kiongz.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Makonda na Magufuli wanaunganishwa na mahusiano binafsi. Kuna urafiki, undugu, ushoga, ukabila, itikadi, viburi na dharau, hasira na jazba, shilawadu na ufisadi pamoja na ubabe
 
salaam kwenu wana jf!!
sitaki kuongea meeeengi ila nawaambia tu kuwa chadema haiweza kuongoza nchi wala raisi hawezi tokea chadema hilo hata mh lowasa analijua........"There is big difference btn vetting and voting" Then msitegemee mh makonda kuondolewa kama mnavyotaka nyinyi!! Nyinyi hamumjui makonda ila mh raisi anamjua zaidi kuliko hata mnavyomjua nyinyi!!
Tanzania oyeee
Magufuli oyeee
Makonda oyeee!!
Kuongoza cdm inaweza,tatizo lao hawataki kujifunza kutokana na makosa ya mshindani wao, Wanatafuta huruma ya jamii lakini hawafanyi kitu kuipata na kubakia nayo, Tusiwakatishe tamaa sana wakijipanga wanaweza tu, wabadili mkakati chama siyo tu watu bali watu wenye lengo linalofanana(common goal). Je wanao?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom