Nafurahi kutambua kilele cha uelewa wako,mimi nimezaliwa,nimelelewa na kukulia ndani ya familia ya kikristo na hata nilipojitambua nimeamua kuendelea hivyo,but nimefanya utafiti sana wa mambo ya dini islamic,christianity,hindu,budha,judaism,etc but elewa kuwa hiyo ni salaam ya kiarabu na haina...