Asalaaam aleykum wanajf,wanajf naombeni kueleweshwa kwenye hili,nimekuwa nikifuatilia wabunge we2 wakichangia 'bajeti ya Mkulo'(maana si ya wananchi) hasa wabunge wa CCM eti wanaikosoa bajeti na kutoa mapendekezo halafu "WANAIUNGA MKONO KWA 100%" hii inamaanisha nini?au ndo uchizi wa MP's wetu? Help me plz...,