Kitendawili Darasani

Edmond

JF-Expert Member
Oct 7, 2010
359
54
Mwanafunzi: Kitendawiliii
Wanafunzi: Tegaaaaaaa
Mwanafunzi:Nivue nguo nikupe utamuu??
Mwalimu: Mshenzi wewe acha kutukana
Mwanafunzi: Mwalimu hujui?? jibu lake ndizi.

Duh ticha kabaki kaduwaa!!!
 
Back
Top Bottom