Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,508
- 1,338
Hivi yuko nchi gani sasa hivi?, mara ya mwisho nilimsikia eti amefanikisha kuleta mkutano uliokuwa ukifanyika Malaysia kwa miaka zaidi ya 15 hapo 2013, hivi ni kweli tunahitaji mikutano???, nadhani matatizo ya nchini kwake hayampi shida..
Nafikiri atakuwa anelekea Sudan, akitoka huko anarudu South Africa akimaliza South Africa sijui anaelekea wapi inawezekana anawezakurudi ulaya