Sasa mm na ww tuna uhakika gani, Kama hao watoto wanaolalamika mzee hakuwarithisha Mali nyingine??? Fikiria Wenda mzee hakuwa na nyumba moja au Mali hiyo tu. Labda tamaa zao za kutoridhika ndizo zinawasumbua
Msemo wa chiku kwa cholo " mtoto wa mtu mbebe tu akiwa amelala na sio vinginevyo, pia tamaa ya binti msumi ya kuvuna Mali za mzee kikala, umeamia kwa mwamini kumuwinda Hamad kisa ndie yupo kwenye urithi( hapa wanaume tuna SoMo kubwa mno) mazuri ya tamthilia hii Ni mengi mwisho usimsaidie mtu...
Sasa watagombeaje wkt wakirudisha fomu wanaambiwa wamezijaza vibaya, na wanaofaulu fomu kupokelewa wanaenguliwa baadae kwa kubambikiziwa tuhuma bandia, na kwenye kampeni vyombo vya ulinzi havitendi haki, kwahiyo nje ya ccm ukigombea unakuwa unazidiwa na ambae hajagombeaa maana unapoteza nguvu...
Matatizo hayo yanaanzia mbali Sana tangu watoto wakiwa wadogo, baadhi hukua bila hao wazazi matajiri kuwepo nyumbani au karibu yao. Baadae pande zote mbili hukosa connection ya love bond. Ndio upelekea kutoaminiana. Na ngozi nyeusi hatuna mifano mizuri ya watoto waliondeleza Mali vzr za familia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.