KUKU_UFUGAJI
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 939
- 1,844
Hakuna hata haja ya salamu naenda moja kwa moja break ya 1 ni kwenye mada inayohusu kuhonga.
Wanaume tuache kuhonga,narudia tena wanaume tuache kabisa kuhonga, tuwe wabahili sanaa, haya maisha ya sasa hivi yana hitaji ubahili wa hali ya juu.
Pata mwanamke wako mmoja, tulia naye.
Funguka uwezo wako wa kiuchumi kama kumsaidia mahitaji basi isizidi asilimia 10 ya kipato chako kwa mwezi. Ikiwezekana hata asilimia 5 ila usivuke aslimia 10.
Ni aibu mwanamke una muhangaikia sanaa kumuhudumia alafu ina tokea mme kwaruzana kidogo basi ana kimbilia kuachana na wewe, alafu una piga mahesabu jinsi ulivyo kuwa una muhangaikia na kumsaidia shida zake kwa haraka haraka una kuta hakuna cha maana umefanya.
Kesho kutwa yuko na mwanaume mwingine mwenye uwezo kukuliko, ana anza kukucheka, kuku dharau na masimango kibao.
Huu ndiyo mwanzo wa depression kwa wanaume, kukata tamaa na kujiona haufai.
Mimi tangu nime anza ubahili kwenye kuwapa hela wanawake nime ona faida kubwa sana kwenye hela zangu.
Now nina fanya savings na hela naziona, nanunua nguo nzuri nina vaa napendeza wasichana wana niangalia balaaa, yaani now ni mwendo wa kujipenda tuu, kula vizuri,kuvaa vizuri, panga nyumba au chumba kizuri, nunua vitu vya ndani vizuri jaza chumba kipendeze, alafu mwisho wa siku una kuta wasichana wale wale uliokuwa una hangaika kuwatongoza now ndiyo wana kutongoza Wewe, mwisho wa siku una baki na shangaa.
Kweli kuhonga ni laana, plus kujitia umaskini na nuksi juu.
Wanaume tujipange sana nguvu zetu zina isha huko mbeleni tuna elekea kwenye uzee, je now tunacho chochote kitu ila kazi kuhongaa tuu je huko mbeleni bado tutakuwa nacho hicho chochote kitu na maisha yenyewe ndiyo haya pata potea.?
Tukazane kuwekeza wanaume tuache kabisa suala la kuhonga.
Hi ni wa vijana watafutaji na wapambanaji ambao wana jitafuta kimaisha.
N.B Hata kama ukisha jipata achana na kitu kina itwa KUHONGA una jitafutia NUKSI,MIKOSI NA UMASIKINI KWA JASHO LAKO,NGUVU ZAKO NA MIKONO YAKO MWENYEWE.
Wanaume tuache kuhonga,narudia tena wanaume tuache kabisa kuhonga, tuwe wabahili sanaa, haya maisha ya sasa hivi yana hitaji ubahili wa hali ya juu.
Pata mwanamke wako mmoja, tulia naye.
Funguka uwezo wako wa kiuchumi kama kumsaidia mahitaji basi isizidi asilimia 10 ya kipato chako kwa mwezi. Ikiwezekana hata asilimia 5 ila usivuke aslimia 10.
Ni aibu mwanamke una muhangaikia sanaa kumuhudumia alafu ina tokea mme kwaruzana kidogo basi ana kimbilia kuachana na wewe, alafu una piga mahesabu jinsi ulivyo kuwa una muhangaikia na kumsaidia shida zake kwa haraka haraka una kuta hakuna cha maana umefanya.
Kesho kutwa yuko na mwanaume mwingine mwenye uwezo kukuliko, ana anza kukucheka, kuku dharau na masimango kibao.
Huu ndiyo mwanzo wa depression kwa wanaume, kukata tamaa na kujiona haufai.
Mimi tangu nime anza ubahili kwenye kuwapa hela wanawake nime ona faida kubwa sana kwenye hela zangu.
Now nina fanya savings na hela naziona, nanunua nguo nzuri nina vaa napendeza wasichana wana niangalia balaaa, yaani now ni mwendo wa kujipenda tuu, kula vizuri,kuvaa vizuri, panga nyumba au chumba kizuri, nunua vitu vya ndani vizuri jaza chumba kipendeze, alafu mwisho wa siku una kuta wasichana wale wale uliokuwa una hangaika kuwatongoza now ndiyo wana kutongoza Wewe, mwisho wa siku una baki na shangaa.
Kweli kuhonga ni laana, plus kujitia umaskini na nuksi juu.
Wanaume tujipange sana nguvu zetu zina isha huko mbeleni tuna elekea kwenye uzee, je now tunacho chochote kitu ila kazi kuhongaa tuu je huko mbeleni bado tutakuwa nacho hicho chochote kitu na maisha yenyewe ndiyo haya pata potea.?
Tukazane kuwekeza wanaume tuache kabisa suala la kuhonga.
Hi ni wa vijana watafutaji na wapambanaji ambao wana jitafuta kimaisha.
N.B Hata kama ukisha jipata achana na kitu kina itwa KUHONGA una jitafutia NUKSI,MIKOSI NA UMASIKINI KWA JASHO LAKO,NGUVU ZAKO NA MIKONO YAKO MWENYEWE.